Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Ana kipawa cha kuponya magonjwa sugu.Amesaidia wengi kama TB JoshuaYupo vizur katika kubadirisha mitindo ya nywele hiv na yeye ana kanisa lake hi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kipawa cha kuponya magonjwa sugu.Amesaidia wengi kama TB JoshuaYupo vizur katika kubadirisha mitindo ya nywele hiv na yeye ana kanisa lake hi
Siku hizi kila mtu ana "nabii" wake.Mimi nilishaacha kuwashangaa manabii wa hivi, bado nawashangaa wafuasi wake,
Umejuaje?Asiye na marinda anakuaje mtumishi huyo msanii Hana huduma yeyote
Wewe humuoni Hana tofauti na dokta kumbuka
😂😂😂Yesu Moyoni..Akili kichwani..Pesa Mfukoni
#MaendeleoHayanaChama
Swali zuri
Hivi ONTARIO kijana wa kijaluo sikuhizi yuko wapi?Siku hizi kila mtu ana "nabii" wake.
Yawezekana hata wewe una wa kwako ila unajiona uko sahihi.
Binafsi nikiona mtu amekuwa mfuasi "msukule" wa mtu yeyote huwa nmwona mpuuzi tu.
Kuna watu huwaambii kitu kuhusu Diamond,
..,...........huwaaambii kitu kuhusu Mbowe,
..........kuhusu Kakobe
........kuhusu Zitto
...........kuhusu Gwajima
..........kuhusu Alikiba
..........Maxence Melo
...........Ontario
...,........Carol Ndisi
.........kuhusu Maria Sarungi
......... Kuhusu Magufuli
In short, watu wanaotumia akili zao kufanya mambo yao ni wachache sana.
Waumini ni chambo Tu hao watakatishaji WA fedha.Yeye Ni wa kupongezwa wa kulaumiwa Ni wale wanaompa hela ili awapeleke mbinguni badala yake yeye anatumbua nauli yote.
Mkuu sikusomi rainbow [emoji304] kabisa nowadays
Kabisa, dingi si alikuaga inspektaKuna sistaduu mmoja hapo aliliwa K + pesa na kamtaji kake kakuungaunga China,alipeleka vitenge vikaombewe Nabii akamwambia mama yangu amevipenda ngoja nikamuonyesha ndiyo ikawa imetoka.Kwa kifupi ni tapeli linalotambua sheria huku Baba na Mama yake wakiwa washauri wakuu kwa kutumia koneksheni.
[emoji23][emoji23][emoji23]MHH!!! NA MIMI NAFUNGUA KANISA, NAONA HII KAZI INALIPA KWELI. NATAFUTA MUHASIBU NA MWEKAHAZINA AU ZOTE NIZIFANYE MIMI? HAPO MNANISHAURIJE WAKUU?
Baeleze mkuuMnaelewa maana ya X experience hiyo label kwenye tshirt yake? Ukielewa usiumize kichwa na hiyo mihela yake, it is just a manipulation of minds
Nilihamaga huko na sasa hivi Dar nimepahamaMkuu sikusomi rainbow [emoji304] kabisa nowadays
Kaliza watu uko leo hiiHivi ONTARIO kijana wa kijaluo sikuhizi yuko wapi?