Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

Naona wa Tz huko pia!
Lakini wakati ukiwa na shida mtu huhangaika sana!
Maulana Mola wangu ingilia kati walahi!
Umeongea sahihi sana.Ukiwa na shida ilikufika kishngon unasukumwa na presha za kufanya lolote ambalo anadhan litamkwamua.
 
Nigeria wanamchezea Sana Mungu Ngoja moto wao utakuwa original kabisa
 
 
Unamfahamu Galileo?
Unamjua Da vinc??
Ahaha ach kupotosha!

Mudy hata kwa Yule Mtolewa kafara ya Msalabani Yesu wa Nazareth
HAONI NDANI MIAKA 1000000
 
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…