MONA WA KYEN
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 340
- 271
maelezo wanajichanganya sema kuna watu walitaka kufikisha ujumbe. Mara you called me in the overflow mara was i here before? siwaelewi hata mmoja hata anaeitwa DJ anaonekana zinakwenda speed sana maneno kuliko akili sijui kazi zimemharibu halafu This man is crazy hapo inawezekana kauliza kiutani kwani hawa watumishi hawatanii wala hawachekeshi?