Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

 
MASOKO YA WAJINGA SUGU YAKO HUKO AFRICA, HAWA NDIO MTAJI WA WATU WA SIASA, WAGANGA WA KIENYEJI NA MANABII FAKE!!!!
 
Mkuu,
Hivi Allah ndio God huyu wa uyahudini?!
 
 
Watu watakao kutana peponi(mbinguni) watashangaana sana ni kama kusema wema wanaenda motoni na wabaya wanaenda mbinguni hii inatokana na walio ktk dini wanaishi maisha ya unafiki na wasioenda hekaluni au msikitini wanaishi bila unafiki na wako real.
NB; Mungu hapendi unafiki. Yaani unaenda kanisani au msikitini eti kisa tu tamaa za kwenda mbinguni au peponi.
 
 
Bora waswagwe hivyo hivyo ..wawe kondoo ili amani iwepo maana WANAOGOPA dhambi na unyama utapungua...

Siku binadamu akigundua na kujihakikishia kitu.. .shida itaanza hapo ... ...
 
 
 
Siku Bushiri aki-fall,Baba yao Ibilisi anamtengeneza Bushiri mwingine. So the circle goes on and on...

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…