Mwanao GENTAMYCINE nakuomba Kimya Kimya agiza Watu wako ( hasa wa System ) wafuatilie nakuhakikishia Mheshimiwa Rais utaletewa Taarifa za Ajabu na za Kusikitisha kuliko hata aliyoyafanya huyo Mhubiri Mmoja Mpumbavu, Muhuni, Mwendawazimu na Gaidi wa Kenya. Kuna Mmoja anawaambia Mabinti wapakae...