Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Jamaa anaona sana. Alishahahi kuielezea historia ya familia yetu vizuri sana na Wala hamna mtu Dar anatujua vyema kiasi Cha kumpa habari zangu hizo, na alinipa tote hayo siku ya kwanza tu nilipokanyaga kanisani kwakeSio mabi bo ni ubungo kibangu jeshini
Wafia dini mtanisamehe ila wote wanao jiita manabii au mitume , kwa sasa naona kama wasaka Tonge tu , wanatumia pepo la utambuzi kuhadaha watu .... na niseme ukweli wwngi wameamini na wataendelea kuwaamini ... hata humu wapo
Kwa nini mnadanganywa kirahisi namna hiyo?Jamaa anaona sana. Alishahahi kuielezea historia ya familia yetu vizuri sana na Wala hamna mtu Dar anatujua vyema kiasi Cha kumpa habari zangu hizo, na alinipa tote hayo siku ya kwanza tu nilipokanyaga kanisani kwake
Hakuna kitu kama hicho, huwa wanakuweka mezani wanakusoma kama ramani, wanajua mipaka yako na vyote ulivyo navyo.Jamaa anaona sana. Alishahahi kuielezea historia ya familia yetu vizuri sana na Wala hamna mtu Dar anatujua vyema kiasi Cha kumpa habari zangu hizo, na alinipa tote hayo siku ya kwanza tu nilipokanyaga kanisani kwake
duhYona alimezwa na chewa, Kuna watu wanaamini hivyo.
View attachment 2313957
Hakuna kitu kama hicho, huwa wanakuweka mezani wanakusoma kama ramani, wanajua mipaka yako na vyote ulivyo navyo.
Mara nyingi wanatumia watu wako wa karibu, yuko tayari asafiri umbali mrefu kwenda kupata habari zako.
Hivi hao wake zenu walivyobadilika wanawezaje kushindwa kukuelezea kwa nabii.
Hao ni sawa tu na yule mama wa huko kando ya ziwa
Wanatumia pepo la utambuzi kubashiri mambo yajayo na watu wana amini .... kama siyo msomaji wa biblia nikisema pepo la utambuzi itqkuwa kitendawili .... kasome karama za roho mtakatifu ...ndipo uje hapaPepo wa utambuzi ni nani?
Naye anatumia Pepo wa utambuzi?kasome karama za roho mtakatifu ...ndipo uje hapa
Kwanini Zimbabwe ? Ila watu sijui hata ni nani anawashikia akiliNabii Clear Malisa alibebwa na malaika hadi Zimbabwe vijijini kabisa kufanyiwa impartation, Kisha akarudishwa bongo na malaika
Na akili zimeshikwa kweli kweli .... wafrica sisi cjui nani katulogaKwanini Zimbabwe ? Ila watu sijui hata ni nani anawashikia akili
Jini kiranjaJini Gani?