Mbona kanunua rangi?
wizi mtupu........amejituma mwenyewe huyo, aaaaggggrrrr........anatia kinyaaa!!
kwani wewe unadhani sadaka kazi yake nini? na hiyo ya kununua rangi na nywele inahusika pia
ukienda church na weaving kama sadaka inabarikiwa zaidi
no wonder catholic wanakataa mapadri wanawake aisee
Mimi ni Mkatoliki die hard. Huyu nabii alimpagawisha wife wangu na kutaka kulazimisha tuhamie kwake. Niligoma na amani nyumbani ilitoweka!.
Nilipomuona kwenye TV, ni full mkorogo, katinda nyusi full mawanja ya kupitiliza na nywele za marehemu au artificial, nikachoka, nikamsomesha wife hivi kwa naked ayes only jinsi nabii anavyoonekana, unapata picha ya wazi anamtumikia nani!.
Thanks to God, somo limeeleweka wife amerejea Katoliki na amani imerejea!.
Bwana wetu Yesu Kristu, alisema "sio wote wanaita Bwana Bwana ni wangu!, watakuja watu watatoa mapepo kwa jina langu, lakini sio wangu"!.
Wakamuuliza jee tutawatambuaje?.
Yesu akajibu " Mtawatambua kwa matendo yao"!.
Wito kwa wana jf wenzangu, imani zenu zisitetereshwa kwa miujiza ya manabii hawa, fuatilia matendo yao utawatambua!.
Mimi ni Mkatoliki die hard. Huyu nabii alimpagawisha wife wangu na kutaka kulazimisha tuhamie kwake. Niligoma na amani nyumbani ilitoweka!.
Nilipomuona kwenye TV, ni full mkorogo, katinda nyusi full mawanja ya kupitiliza na nywele za marehemu au artificial, nikachoka, nikamsomesha wife hivi kwa naked ayes only jinsi nabii anavyoonekana, unapata picha ya wazi anamtumikia nani!.
Thanks to God, somo limeeleweka wife amerejea Katoliki na amani imerejea!.
Bwana wetu Yesu Kristu, alisema "sio wote wanaita Bwana Bwana ni wangu!, watakuja watu watatoa mapepo kwa jina langu, lakini sio wangu"!.
Wakamuuliza jee tutawatambuaje?.
Yesu akajibu " Mtawatambua kwa matendo yao"!.
Wito kwa wana jf wenzangu, imani zenu zisitetereshwa kwa miujiza ya manabii hawa, fuatilia matendo yao utawatambua!.
Utakuwa nyaso wewe.....Mimi ni moja ya majirani zake hapa, jumapili ni makelele tuu hapa hakuna amani!