Nabii Flora wa Mbezi Beach

Nabii Flora wa Mbezi Beach

Status
Not open for further replies.
Samahani ndugu zangu sijui macho yangu yamechoka au la maana ninaona kama amejichubua ili awe mng'avu zaidi ya rangi yake ya asili
 
Ni jambo la ajabu sana! Hakuna Nabii mwanamke duniani..Hii ni Product ya Beijing conference na nguvu ya wajinga wachache waliopo katika utawala wa Ibilisi wanaokwenda kinyume na Mwenye Mbingu na ardhi.Hii ni matokeo ya remote control ya Bavarian Illuminati na Freemasons waliyojificha makanisani.Tufunguke akili.
 
Cheki lilivyojikoroga kama kitimoto vile!
Mkuu huo ndiyo mtindo wa kisasa, umeshawahi kumuona kwa karibu Mtume na Nabii GEODAVIE yule wa Arusha? Utafurahi na roho yako maana kote ni kama huyu Nabii flora kasoro kwenye vifundo nyuma ya viganja vya mikono yake.
 
Umasikini ni kama uendawazimu - hasa hasa umasikini wa AKILI!

Sijajua mpaka sasa ni ugonjwa gani wa akili wanaumwa waumini wanaokwenda kwenye makanisa ya watu hawa wanaojiita manabii wakati ni wezi! Nafikiri kuna nguvu ya giza (mazingaombwe) inatumika kuwarubuni waumini hawa ili wasing'amue kuwa sadaka na zaka wanazotoa zinawanufaisha wachache wanaojiita manabii!
 
Ni jambo la ajabu sana! Hakuna Nabii mwanamke duniani..Hii ni Product ya Beijing conference na nguvu ya wajinga wachache waliopo katika utawala wa Ibilisi wanaokwenda kinyume na Mwenye Mbingu na ardhi.Hii ni matokeo ya remote control ya Bavarian Illuminati na Freemasons waliyojificha makanisani.Tufunguke akili.

We kweli m2 mzima nimekubali
 
Nilipata tetesi kuwa ni raia wa DRC. Hajarudishwa katika operation ya kuwarudisha wahamiaji haramu? Au ana work permit?
 
Ha Ha HA!! Unanicheksha kweli! Kama ndio hivyo mbona manabii wasidizi tutakuwa wengi!!!!
hapo kwenye enzi yake kochi linaonekana comfortable, ila kapu la sadaka kubwa kweli! hana vacancy ya nabii msaidizi mananke nna upako wa kutosha.
 
Yes!! Matendo!!! Imani bila matendo imekufa Yakobo 2:14-26.
Mimi ni Mkatoliki die hard. Huyu nabii alimpagawisha wife wangu na kutaka kulazimisha tuhamie kwake. Niligoma na amani nyumbani ilitoweka!.

Nilipomuona kwenye TV, ni full mkorogo, katinda nyusi full mawanja ya kupitiliza na nywele za marehemu au artificial, nikachoka, nikamsomesha wife hivi kwa naked ayes only jinsi nabii anavyoonekana, unapata picha ya wazi anamtumikia nani!.

Thanks to God, somo limeeleweka wife amerejea Katoliki na amani imerejea!.

Bwana wetu Yesu Kristu, alisema "sio wote wanaita Bwana Bwana ni wangu!, watakuja watu watatoa mapepo kwa jina langu, lakini sio wangu"!.

Wakamuuliza jee tutawatambuaje?.

Yesu akajibu " Mtawatambua kwa matendo yao"!.

Wito kwa wana jf wenzangu, imani zenu zisitetereshwa kwa miujiza ya manabii hawa, fuatilia matendo yao utawatambua!.
 
Kama angejikoroga zamani angekuwa amesharudia ngozi yake ya asili. Hii inaonyeshabado anajikoboa!!
Mh mlivomsakama mwenzenu kwa mkorogo utafkiri nini sjui..labda alijikoboa before hajajua kama atakuwa ‘mtume na nabii‘ na usikute leo anajutia inamuharibia ‘first time impression‘ kama ivo wengi mnavomjudge hapa!
 
Anaweza kuwa alikuwa possessed na evil spirits tokea utoto! Si unajua shetani nae anauwezo wa kufanya miujiza!!! Kama alivyofanya enzi za Musa kwa Farao. Unajua imani lazima iendane na matendo. Mfano mzuri Marehemu Moses Kulola. Huyu ni rolemodel wa jinsi ya kuishi kiimani!! Alikuwa mwinjilisti wa kwanza and he pulled crowds lakini he died a simple man. Mtru wa Mungu hawezi kupaprikia mambo ya dunia!!
Wengine wanasema unabii alikuwa nao toka akiwa mdogo (miaka 3-6), lakini hakugundua! Ikawa anapatwa na mambo ya kimiugiza! Wakati fulani akawa kipofu kwa mwaka mmoja. Ningepeda kujua historia yake kwa ujumla.
 
He GEODAVIE ndiyo nani tena?
Mkuu huo ndiyo mtindo wa kisasa, umeshawahi kumuona kwa karibu Mtume na Nabii GEODAVIE yule wa Arusha? Utafurahi na roho yako maana kote ni kama huyu Nabii flora kasoro kwenye vifundo nyuma ya viganja vya mikono yake.
 
Mtumzima, soma biblia yako vizuri. Walikuwepo, kasome Judges 4:4-7. Unaweza kusoma sura yote. Inahusu nabii Deborah aliyeongoza Israel na Mungu alimtumia kusema na Israel. Mungu habagui bwana, ni binadamu tu ndio tunabaguana!!! Ukisoma agano la kale Mungu aliwatumia sana wanawake kwa kazi zake maalum. Mfano Mariamu alitumika kuleta Kristo duniani. Unajua kuwa uzao wa Daudi ulitoka kwa Ruth? Kasome Ruth 4: 13-22. Malkia Esther alitumika kuikoa Israel na wengine wengi tu. Wanaume tu ndio walianza kubagua wanawake lakini si mpango wa Mungu.
Ni jambo la ajabu sana! Hakuna Nabii mwanamke duniani..Hii ni Product ya Beijing conference na nguvu ya wajinga wachache waliopo katika utawala wa Ibilisi wanaokwenda kinyume na Mwenye Mbingu na ardhi.Hii ni matokeo ya remote control ya Bavarian Illuminati na Freemasons waliyojificha makanisani.Tufunguke akili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom