Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaganga njaa kwa mgongo wa biblia mwenyewe natafuta eneo nilianzishe.
.................The only difference between the saint and the sinner is that every saint has a past, and every sinner has a future. ~Oscar WildeCheki lilivyojikoroga kama kitimoto vile!
Mkuu huo ndiyo mtindo wa kisasa, umeshawahi kumuona kwa karibu Mtume na Nabii GEODAVIE yule wa Arusha? Utafurahi na roho yako maana kote ni kama huyu Nabii flora kasoro kwenye vifundo nyuma ya viganja vya mikono yake.Cheki lilivyojikoroga kama kitimoto vile!
Umasikini ni kama uendawazimu - hasa hasa umasikini wa AKILI!
Ni jambo la ajabu sana! Hakuna Nabii mwanamke duniani..Hii ni Product ya Beijing conference na nguvu ya wajinga wachache waliopo katika utawala wa Ibilisi wanaokwenda kinyume na Mwenye Mbingu na ardhi.Hii ni matokeo ya remote control ya Bavarian Illuminati na Freemasons waliyojificha makanisani.Tufunguke akili.
Nabii Deborah. Waamuzi 4:4-5
hapo kwenye enzi yake kochi linaonekana comfortable, ila kapu la sadaka kubwa kweli! hana vacancy ya nabii msaidizi mananke nna upako wa kutosha.
Mimi ni Mkatoliki die hard. Huyu nabii alimpagawisha wife wangu na kutaka kulazimisha tuhamie kwake. Niligoma na amani nyumbani ilitoweka!.
Nilipomuona kwenye TV, ni full mkorogo, katinda nyusi full mawanja ya kupitiliza na nywele za marehemu au artificial, nikachoka, nikamsomesha wife hivi kwa naked ayes only jinsi nabii anavyoonekana, unapata picha ya wazi anamtumikia nani!.
Thanks to God, somo limeeleweka wife amerejea Katoliki na amani imerejea!.
Bwana wetu Yesu Kristu, alisema "sio wote wanaita Bwana Bwana ni wangu!, watakuja watu watatoa mapepo kwa jina langu, lakini sio wangu"!.
Wakamuuliza jee tutawatambuaje?.
Yesu akajibu " Mtawatambua kwa matendo yao"!.
Wito kwa wana jf wenzangu, imani zenu zisitetereshwa kwa miujiza ya manabii hawa, fuatilia matendo yao utawatambua!.
Mh mlivomsakama mwenzenu kwa mkorogo utafkiri nini sjui..labda alijikoboa before hajajua kama atakuwa mtume na nabii na usikute leo anajutia inamuharibia first time impression kama ivo wengi mnavomjudge hapa!
Wengine wanasema unabii alikuwa nao toka akiwa mdogo (miaka 3-6), lakini hakugundua! Ikawa anapatwa na mambo ya kimiugiza! Wakati fulani akawa kipofu kwa mwaka mmoja. Ningepeda kujua historia yake kwa ujumla.
Mkuu huo ndiyo mtindo wa kisasa, umeshawahi kumuona kwa karibu Mtume na Nabii GEODAVIE yule wa Arusha? Utafurahi na roho yako maana kote ni kama huyu Nabii flora kasoro kwenye vifundo nyuma ya viganja vya mikono yake.
Ni jambo la ajabu sana! Hakuna Nabii mwanamke duniani..Hii ni Product ya Beijing conference na nguvu ya wajinga wachache waliopo katika utawala wa Ibilisi wanaokwenda kinyume na Mwenye Mbingu na ardhi.Hii ni matokeo ya remote control ya Bavarian Illuminati na Freemasons waliyojificha makanisani.Tufunguke akili.