Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
du...kumbe na wewe unajua kuandika...nilijua zako picha tu!
Hahahaaaa jamaa anaongeaga kwa picha tu aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du...kumbe na wewe unajua kuandika...nilijua zako picha tu!
Wapo manabii na mitume ambao Mungu anawatumia na pia wapo wanaojifanya manabii na mitume/wa uongo.
Hatushangai hata bibilia imesema haya sio mageni...
Nabiii huku umedinda mi ndio maana ukiniletea umbweha wa kuokoka hata sikuelewi kabisa
GeordAvie amewapumbaza akili waumini wake wamekuwa mazuzu malimbukeni na usomi wao woootee hawana akili hatA moja rudini kwenye madhehebu yenu ya awali na muendelee kuishi bila dhambi kjsaidia yatima wajane wagonjwa na wote wenye shida ndo matendo yanayokuweka kafibu na Mungu na mujiepushe na dhambi kwenda kusali kwa hao manabii feki ni kijichafua Mungu yuko popote pale ni wewe tu na imani na matendo yako
Huyu Pamela amekosa adabu sana, alikuwa ndio katibu wa kanisa pale ngurumo, siku za ibada kuna viti rasmi mbele vya wakuu wa kanisa na yeye bila aibu mume wake nae pamoja na watoto walikuwa wanasali hapo, nabii anawashika mkono kuwabariki kumbe anammegea jamaa mke wake, sasa akawa na mazoea ya kwenda nyumbani kwa nabii maana ni maeneo ya kisongo zilipo ofisi za kanisa, nabii anaeneo kubwa sana na analiita mjini mwa Daudi, mke wa nabii ana mkaribisha Pmela akijua ni mfanyakazi na mlokole mwenzao anamuacha aongee na nabii, siku moja wakajidai wanaenda kuongelea garden ya mji wa daudi mke kwa wema kapika chai apeleke kwa kuwa ilikuwa kipindi cha baridi, he, kufika haoni watu kuangalia kwenye gari akaona mtikisiko kumbe jamaa wanatiana humo ndani ya gari, ndio mke akaondoka. Baada ya hayo mume wa pamela akamwambia mke wake aache kusali hapo hata kama anakataa hawana uhusiano na nabii, pamela akawa mkorofi na akwa anaenda kusali hapo mume acha kwenda kanisani, ziara za Israel pamela akawa anaenda na Nabii bila kujali mume wake, akaanza kupigwa na mume, nabii akampangishia nyumba maeneo ya njiro na kumfanya kama nyumba ndogo kabisa, jeuri ya hela ndio ilimfanya pamela amdharau mume wake, kwni mume ni dereva wa watalii ingawa walikuwa na maisha mazuri tu na yumba nzuri ya kuishi walishajenga. Pamela akawa bosi pale GEORDIVIE MINISTRY, bila aibu wala kujali minong'ono. Hiyo ndoa alishavunjika siku nyingi talaka ndio ilikuwa bado.BABA NABII BAADA YA KUTOSHEKA NA PAMELA, AKAMUUNDIA ZENGWE KWAMBA MUMUO ANANICHAFUA SANA BORA UACHE KAZI HAPA NA UFANYA BIASHARA ZAKO NYINGINE, AKAACHA KAZI KUMBE NABII AALIKUWA ANAMTOA KIJANJA KWENYE HIMAYA YAKE, NABII KAMUACHA JUMLA PAMELA. SANA SANA KAAMBULIA PRADO TU. KAKOSA WANAUME WOTE WAWILI.
Yap...Ni first born kwa yule mke wake wa kwanza...
kanisani kwa Nabii anakwenda tena?
Wote uliowataja wamevunja ndoa?
Mkuu unaweza kututhibitishia ukiondoa wa arusha ambae mahakama imethibitisha?
Ufahamu wako ukirejea ndo utaelewa. kwa sasa hutaweza kwa kuwa nimfuasi wa hao matapeli.kwa kukusaida tu kanisa lazima iwe taasisi na sio mali ya mtu binafsi.Siku hizi manabii wengi wa uongo wametokea na kudanganya watu wengi huku wakizidi kuishi maisha ya anasa wakati waumini wao wakizidi kuwa maskini na watumwa wao.
Huyu Pamela amekosa adabu sana, alikuwa ndio katibu wa kanisa pale ngurumo, siku za ibada kuna viti rasmi mbele vya wakuu wa kanisa na yeye bila aibu mume wake nae pamoja na watoto walikuwa wanasali hapo, nabii anawashika mkono kuwabariki kumbe anammegea jamaa mke wake, sasa akawa na mazoea ya kwenda nyumbani kwa nabii maana ni maeneo ya kisongo zilipo ofisi za kanisa, nabii anaeneo kubwa sana na analiita mjini mwa Daudi, mke wa nabii ana mkaribisha Pmela akijua ni mfanyakazi na mlokole mwenzao anamuacha aongee na nabii, siku moja wakajidai wanaenda kuongelea garden ya mji wa daudi mke kwa wema kapika chai apeleke kwa kuwa ilikuwa kipindi cha baridi, he, kufika haoni watu kuangalia kwenye gari akaona mtikisiko kumbe jamaa wanatiana humo ndani ya gari, ndio mke akaondoka. Baada ya hayo mume wa pamela akamwambia mke wake aache kusali hapo hata kama anakataa hawana uhusiano na nabii, pamela akawa mkorofi na akwa anaenda kusali hapo mume acha kwenda kanisani, ziara za Israel pamela akawa anaenda na Nabii bila kujali mume wake, akaanza kupigwa na mume, nabii akampangishia nyumba maeneo ya njiro na kumfanya kama nyumba ndogo kabisa, jeuri ya hela ndio ilimfanya pamela amdharau mume wake, kwni mume ni dereva wa watalii ingawa walikuwa na maisha mazuri tu na yumba nzuri ya kuishi walishajenga. Pamela akawa bosi pale GEORDIVIE MINISTRY, bila aibu wala kujali minong'ono. Hiyo ndoa alishavunjika siku nyingi talaka ndio ilikuwa bado.BABA NABII BAADA YA KUTOSHEKA NA PAMELA, AKAMUUNDIA ZENGWE KWAMBA MUMUO ANANICHAFUA SANA BORA UACHE KAZI HAPA NA UFANYA BIASHARA ZAKO NYINGINE, AKAACHA KAZI KUMBE NABII AALIKUWA ANAMTOA KIJANJA KWENYE HIMAYA YAKE, NABII KAMUACHA JUMLA PAMELA. SANA SANA KAAMBULIA PRADO TU. KAKOSA WANAUME WOTE WAWILI.
Mwamini Mungu wako tu fuata njia ya haki na jiepushe na dhambi, imani safi ni kutazama wagonjwa kusaidia yatima na wajane na kujilinda na dunia usitende dhambi
Utaniuliza dhambi ninini?
Dhambi ni tendo lolote lile ambalo lina madhara kwako na kwa wengine, linaharibu moyo na kutibua fikara, linaleta matokeo hasi na mambo yote ya jinsi hiyo
MENGINE WAACHIE WALIMWENGU
Huyu Pamela amekosa adabu sana, alikuwa ndio katibu wa kanisa pale ngurumo, siku za ibada kuna viti rasmi mbele vya wakuu wa kanisa na yeye bila aibu mume wake nae pamoja na watoto walikuwa wanasali hapo, nabii anawashika mkono kuwabariki kumbe anammegea jamaa mke wake, sasa akawa na mazoea ya kwenda nyumbani kwa nabii maana ni maeneo ya kisongo zilipo ofisi za kanisa, nabii anaeneo kubwa sana na analiita mjini mwa Daudi, mke wa nabii ana mkaribisha Pmela akijua ni mfanyakazi na mlokole mwenzao anamuacha aongee na nabii, siku moja wakajidai wanaenda kuongelea garden ya mji wa daudi mke kwa wema kapika chai apeleke kwa kuwa ilikuwa kipindi cha baridi, he, kufika haoni watu kuangalia kwenye gari akaona mtikisiko kumbe jamaa wanatiana humo ndani ya gari, ndio mke akaondoka. Baada ya hayo mume wa pamela akamwambia mke wake aache kusali hapo hata kama anakataa hawana uhusiano na nabii, pamela akawa mkorofi na akwa anaenda kusali hapo mume acha kwenda kanisani, ziara za Israel pamela akawa anaenda na Nabii bila kujali mume wake, akaanza kupigwa na mume, nabii akampangishia nyumba maeneo ya njiro na kumfanya kama nyumba ndogo kabisa, jeuri ya hela ndio ilimfanya pamela amdharau mume wake, kwni mume ni dereva wa watalii ingawa walikuwa na maisha mazuri tu na yumba nzuri ya kuishi walishajenga. Pamela akawa bosi pale GEORDIVIE MINISTRY, bila aibu wala kujali minong'ono. Hiyo ndoa alishavunjika siku nyingi talaka ndio ilikuwa bado.BABA NABII BAADA YA KUTOSHEKA NA PAMELA, AKAMUUNDIA ZENGWE KWAMBA MUMUO ANANICHAFUA SANA BORA UACHE KAZI HAPA NA UFANYA BIASHARA ZAKO NYINGINE, AKAACHA KAZI KUMBE NABII AALIKUWA ANAMTOA KIJANJA KWENYE HIMAYA YAKE, NABII KAMUACHA JUMLA PAMELA. SANA SANA KAAMBULIA PRADO TU. KAKOSA WANAUME WOTE WAWILI.
aisss!...Huyu Pamela amekosa adabu sana, alikuwa ndio katibu wa kanisa pale ngurumo, siku za ibada kuna viti rasmi mbele vya wakuu wa kanisa na yeye bila aibu mume wake nae pamoja na watoto walikuwa wanasali hapo, nabii anawashika mkono kuwabariki kumbe anammegea jamaa mke wake, sasa akawa na mazoea ya kwenda nyumbani kwa nabii maana ni maeneo ya kisongo zilipo ofisi za kanisa, nabii anaeneo kubwa sana na analiita mjini mwa Daudi, mke wa nabii ana mkaribisha Pmela akijua ni mfanyakazi na mlokole mwenzao anamuacha aongee na nabii, siku moja wakajidai wanaenda kuongelea garden ya mji wa daudi mke kwa wema kapika chai apeleke kwa kuwa ilikuwa kipindi cha baridi, he, kufika haoni watu kuangalia kwenye gari akaona mtikisiko kumbe jamaa wanatiana humo ndani ya gari, ndio mke akaondoka. Baada ya hayo mume wa pamela akamwambia mke wake aache kusali hapo hata kama anakataa hawana uhusiano na nabii, pamela akawa mkorofi na akwa anaenda kusali hapo mume acha kwenda kanisani, ziara za Israel pamela akawa anaenda na Nabii bila kujali mume wake, akaanza kupigwa na mume, nabii akampangishia nyumba maeneo ya njiro na kumfanya kama nyumba ndogo kabisa, jeuri ya hela ndio ilimfanya pamela amdharau mume wake, kwni mume ni dereva wa watalii ingawa walikuwa na maisha mazuri tu na yumba nzuri ya kuishi walishajenga. Pamela akawa bosi pale GEORDIVIE MINISTRY, bila aibu wala kujali minong'ono. Hiyo ndoa alishavunjika siku nyingi talaka ndio ilikuwa bado.BABA NABII BAADA YA KUTOSHEKA NA PAMELA, AKAMUUNDIA ZENGWE KWAMBA MUMUO ANANICHAFUA SANA BORA UACHE KAZI HAPA NA UFANYA BIASHARA ZAKO NYINGINE, AKAACHA KAZI KUMBE NABII AALIKUWA ANAMTOA KIJANJA KWENYE HIMAYA YAKE, NABII KAMUACHA JUMLA PAMELA. SANA SANA KAAMBULIA PRADO TU. KAKOSA WANAUME WOTE WAWILI.
kwa wale manabii wa kike na mimi niko tayari kupata maombi maalumu ya usiku wa manane.
Na bwana awabariki sana
nistue na mimi siku ukipata huyo nabii wa maombi ya saa nane ya usiku..
Hakuna kitu kama hicho! Hakuna maandishi yaliyosema kutakuwa na mitume na manabii wakweli. Yesu alisema watakuja manabii wa uongo tu, inakuwaje ukifungua Kanisa tu unakuwa tajiri Kama sio Wajinga ndio waliwao?
Mungu ameacha vitabu tu. Hao woote ni majambazi wamejificha kwenye dini kazi yao ni kuwakamua waumini wapumbavu, muumini mwenye akili hawezi kutoa pesa yake kumpa mchunaji yoyote.
Sent from my SM-G800H using Tapatalk