Nabii Geor Davie asababisha ndoa kuvunjika

Nabii Geor Davie asababisha ndoa kuvunjika

Mimi sitaki kabisa kusikia haya makanisa yanayoitwa ya kiroho... Especially karibu na mpenzi wangu... Shenzy kabisa hawa
 
Mimi sitaki kabisa kusikia haya makanisa yanayoitwa ya kiroho... Especially karibu na mpenzi wangu... Shenzy kabisa hawa

Kuna watu huwezi kuwaambia kitu, nasikia kuna watu wamefunga na kuomba wakimuombea nabii wao kwa kusingiziwa jambo kama hilo
 
Huyu jamaa anatejiita Geo Devil ni hatari tupu....

Sishangai maana hata mtoto wake Producer wa muziki Nisher ni mtoto wa nje...

Huyu jamaa kwa kifupi ni muhuni...Na watu sijui kwann hawastukii utapeli huu...Wanakuwa kama wamefungwa akili zao..

halaf ukifuatilia vipindi vyake anavyoongea ni kama vya chombeza time vile
 
Halaf kwann anataka aitwe Baba??? Waumin wao utawasikia wakisema baba amenisaidia
 
Wajinga ndio waliwao! Mtaamka kini, HAKUNA NABII WALA MTUME hayo ni mjambazi tu yamejificha kwenye dini.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Kuna watu huwezi kuwaambia kitu, nasikia kuna watu wamefunga na kuomba wakimuombea nabii wao kwa kusingiziwa jambo kama hilo

Ndio maana mimi nimekataa kabisa haya mambo, kama ni kusali aende tu Lutheran akishindwa tukae nyumbani tucheze kidali poo
 
Wajinga ndio waliwao! Mtaamka kini, HAKUNA NABII WALA MTUME hayo ni mjambazi tu yamejificha kwenye dini.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk

aisee hi la walokole daah mungu anisamehe..mtu amekaa na mkewe mara mchungaj hodiii...mke anatoka sebuleni kumkarim mchungaj basi wanakaaa hata masaa mawili na mme yupo chumban anasubiri mke arudi wamalize mjadala wa familia...saa lingine linatumika kumsindikiza mchungaji.
 
Mimi nashangaa sana utakuta muumini anajibana ana kwenda kusali kapanda daladala mbili mpaka tatu ili aweze kufika kanisani baada ya misa kumalizika mchungaji/Askofu/Nabii/Mtume anaondoka na Land Cruiser VDJ 201 muumini anakimbizana na daladala tena.Ukitaka kucheka hadi mbavu zikuume utakuta muumini kajibana katoa sadaka 10,000/= kamchangia Nabii azidi kutanua huku yeye akiwa hana uhakika atakula nini siku inayofuata.Maubiri mengine usipokuwa makini unaweza kujikuta unauza nyumba yako eti ukamtolee Mungu sadaka mwisho wa siku unakuta ile sadaka yako imetumika kununua Vogue,imetumika kujenga hekalu la Nabii,imetumika kununua choper ya Mtume.... mpaka hapo sijaona mahali Mungu katumia sadaka yako.Laiti hizi sadaka zingekuwa zinatumika kusaidia wajane,watoto yatima na wasiojiweza na nk kungekuwa na uhusiano wa kumtolea Mungu sadaka.
 
Hawa ni mafuska waliokubuhu. Kuanzaia yule nabii feki wa Nigeria TB joshua, Gwajima wa misukule, mwingira wa efatha, Joe devi, yule wa kimara wa miaka 50 kaacha mke na kuoa binti wa miaka 20 na wengi wapendao kujipa vyeo vya unabii ni mafuska wa kutupwa na wote hao niliowataja wamevunja ndoa za waumini wao kwa ufuska.

Kazi kwenu mnaowapa hizo sadaka wanzochezea.

Wote uliowataja wamevunja ndoa?
Mkuu unaweza kututhibitishia ukiondoa wa arusha ambae mahakama imethibitisha?
 
Kuokoka kupo na kristo anaokoa hata sasa. Na watakatifu wapo. Jodavi asilichafue kanisa la Bwana.

Tell them...Eti kosa la gordavie lifanye watumishi wa ukweli nao waonekane wale wale,..huyo ni yy kalitukanisha jina la Bwana na haifanyi wengine waonekane si watumishi!
 
Wajinga ndio waliwao! Mtaamka kini, HAKUNA NABII WALA MTUME hayo ni mjambazi tu yamejificha kwenye dini.

Sent from my SM-G800H using

Wapo manabii na mitume ambao Mungu anawatumia na pia wapo wanaojifanya manabii na mitume/wa uongo.

Hatushangai hata bibilia imesema haya sio mageni...
 
Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Jodevi wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.

Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum

Vile vile ushahidi na msg za simu na kwenye laptop na mambo mengine mengi yamethibitisha pasi na shaka mahusiano ya wawili hao na hatimaye mahakama kuamua kuvunja ndoa hiyo takatifu

Chanzo: Wapo radio
du...kumbe na wewe unajua kuandika...nilijua zako picha tu!
 
Back
Top Bottom