Nabii Geor Davie asababisha ndoa kuvunjika

Nabii Geor Davie asababisha ndoa kuvunjika

Ndoa ya Winstone lota na Pamela Geoffrey(sio Godfrey) haikua sahihi mbele za Mungu, na aliyeivunja sio GeorDavie Bali ni Mungu.....na ingetakiwa ivunjike muda mrefu uliopita ila ni kwa uvumilivu wa Pamela ndo ikafika hio miaka 8.

anaejuahao wawili vizuri basi atapita tu na kucheka comment zenu, mkae kumsubiri mtoto wa hawa wawili aliyesema hizo habari miaka kumi ijayo kama atasimama na hayo maneno yake. Time will tell.
judge aliyeamua hio kesi kalaaniwa tayari.... Based in the fact that hakuna haki kwa wanawake....kabisa and without a doubt amehongwa.
mumuache Pamela, she has the right to leave abusive relationship and GeorDavie has nothing to do with their failed marriage.

get a life people and be busy with your business
Mungu huwa havunji ndoa kiazi wewe
 
Kama una familia yako mnaishi kwa amani then mnaanza kuhangaika na haya makanisa ya mwendokasi mara nyingi lazima mjikute kwenye matatizo ingawa mwanzoni mtajiona mmeona mwanga!

Wengine "wakishaokoka" wanashawishi mpaka wazee wao walioishi kwa amani miaka mingi hadi uzee anaanza mahangaiko ya kiroho na hata kufa mapema zaidi sababu ya mahangaiko. Tuwe makini sana na haya makanisa! Usichotwe na miujiza tu, muombe Roho Mtakatifu akuongoze kabla mihemuko ya kiroho haijakupanda.
Siku hiz makanisa yote hao RC ndio usiseme.
 
Sifa ya mitume na manabii wa uongo wana JINI MAHABA; kama waganga wa kienyeji.
Mmoja maarufu, wanamwita "ZIPU MKONONI" !
Sasa fikiria mchungaji wako sijui nabii wako anajiita Zipu Mkononi halafu bado unaenda kusali huko au una ruhusu mkeo akaombewe huko. Over my dead body!
 
Utaniuliza dhambi ninini?
Dhambi ni tendo lolote lile ambalo lina madhara kwako na kwa wengine, linaharibu moyo na kutibua fikara, linaleta matokeo hasi na mambo yote ya jinsi hiyo.
 
Mwamini Mungu wako tu fuata njia ya haki na jiepushe na dhambi, imani safi ni kutazama wagonjwa kusaidia yatima na wajane na kujilinda na dunia usitende dhambi

Utaniuliza dhambi ninini?
Dhambi ni tendo lolote lile ambalo lina madhara kwako na kwa wengine, linaharibu moyo na kutibua fikara, linaleta matokeo hasi na mambo yote ya jinsi hiyo


MENGINE WAACHIE WALIMWENGU
.
 
Nabii wa mchongo ana mazoba kibao wanaomkubali.
Yeye akifanikiwa kuvunja ndoa anafurahia, akisifiwa na mashehe(anawatonya obviously) au bondia akienda kwake kuomba baraka yeye ndiyo promo kwake.
Ngoja apambane na Lema tuone vita itaenda vipi.
 
Mkuu mshana jr,

Hao watu wanatupeleka wapi sie kondoo tulopotea....!?

Basi kama ndivyo twendelee kula nyasi kama lile Kanisa letu jipya ambalo twagombea kujiandikisha/kujiunga toka Africa ya Kusini....!?

Tafadhali nikumbushe na ile NDOA ya Emmanuel Mbasha dhidi ya tuhuma kwa yule Gwajima, wajua nalitoka kiduchu....

Naamini ni mangi mno unayo, nigeiye japo kwa uchache ili nami niamue ni yuepi Nabii /Mchungaji nimfuate.

Ahsanta na nipo kipembeni hapa.
Mshana ukimwachia mkeo anakula hivyo hivyoo hakuna Cha mshana Wala Nini so Kaa Kwa kutulia acha kuita fisi kwenye mabucha ya nyama unaniambia mshana aone kitu kizuri akatae kukila Kwa sababu ??mbaya zaidi anajua kuleta na kutoa support za nguvu shauri yako
 
Joe devi sijui ,
1.msiangalie matendo yao angalieni wanachotoa midomoni mwao.

Joe devi huyu Mzee ni mwanaume anadude so kama mnataka akae tu .

Asile chakula woii acha hizooo joe sijui john haya maisha mafupi piga fimbo Mzee baba wanakuja wenyewe wanajilengesha fanya yako .

Asikutibue kimenuka kana halafu mpe maisha mama ale Raha
 
Back
Top Bottom