Salaam, Shalom.
Hii ni habari njema Kwa wakazi wa Dar es Salaam, Mungu amewaepusha mbali na dhahama ya mafuriko.
Iliarifiwa kabla juu ya janga kubwa la Mafuriko kuukumba mji mzima wa Dar na watu kuarifiwa kuhama,
Mtumishi mmoja amepata kibali Cha kuomba Kwa HAKI mbele za Mungu na kumsihi kuunusuru mji, na Mungu amesikia kuomba kwake na hatimaye Mafuriko yasasitishwa. Mtumishi huyo ni msukuma Kwa kabila lake. Mafuriko hayo yatapungua mwisho wa mwenzi huu na jua litawaka na kukausha maji ya ardhi na taratibu Hali itarejea.
Kusitishwa Kwa mafuriko hayo ni Kwa Muda, wakazi wa mji huo wanatakiwa kurudi katika line, njia kuu kuenenda sawasawa na maelekezo ya Mungu ya kukataa UOVU na kuishi maisha matakatifu. Ikiwa watu hawatasikia maelekezo ya Mungu, mafuriko hayo yatarejea tena.
Ahsante.
Source: Huduma ya Kristo U-Tube channel - Jackob Steven.
Hii ni habari njema Kwa wakazi wa Dar es Salaam, Mungu amewaepusha mbali na dhahama ya mafuriko.
Iliarifiwa kabla juu ya janga kubwa la Mafuriko kuukumba mji mzima wa Dar na watu kuarifiwa kuhama,
Mtumishi mmoja amepata kibali Cha kuomba Kwa HAKI mbele za Mungu na kumsihi kuunusuru mji, na Mungu amesikia kuomba kwake na hatimaye Mafuriko yasasitishwa. Mtumishi huyo ni msukuma Kwa kabila lake. Mafuriko hayo yatapungua mwisho wa mwenzi huu na jua litawaka na kukausha maji ya ardhi na taratibu Hali itarejea.
Kusitishwa Kwa mafuriko hayo ni Kwa Muda, wakazi wa mji huo wanatakiwa kurudi katika line, njia kuu kuenenda sawasawa na maelekezo ya Mungu ya kukataa UOVU na kuishi maisha matakatifu. Ikiwa watu hawatasikia maelekezo ya Mungu, mafuriko hayo yatarejea tena.
Ahsante.
Source: Huduma ya Kristo U-Tube channel - Jackob Steven.