Kweli kabisa mkuu. Hasa maswahili yanaamini ujinga sana. Wewe fikiria majitu mazima unakuta yamekusanywa na wale wahuni wanaochezea nyoka wanawauzia dawa feki za mapenzi na kutongoza. Unaweza kuamini kuwa wasomi ndio wateja wakubwa wa dawa za mapenzi, hasa wanawake? Ni tatizo sana mkuu.