Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujiandae twende ibadani rafiki yangu 😁😁kabla watoto wetu hawajadanganywa na manabii tukaonekana tunawa-chakularize wajukuu zetuHiyo Millard imempita,nimefumania usiku sana ndugu Reporta alikuwa kalala usingizi
Daah,umetoa wazo zuri,kama vipi twende zetu Buza tukamtafute atufufulie mdaiwa Sugu,,,kwenye hiyo mia mie anipe ten percent ya udalaliMwambie Nabii nina million 100 amfufue kuna mzee mmoja anilipe hela yangu tu halafu yeye Nabii atajua la kumfanya huyo mfu.
Akili za masikini ndio hufikwa na hawa manabii mwenye lishe bora hawezi kuwaamini hawa wachawi wa mchana.
Hayo unayoyasema na Yale ya Mwamposa Kuna tofauti Gani?Samahani nabii Kiboko ya uchawi, mbona nakusikiliza hapa hii kama futuhi?
Aiseee huu ni mchezo wa kuigiza kabisaaa. Eti bibi katoka kijijini amefikiwa Kwa mwanae, watoto watatu wamefariki, baada ya kumpigia simu nabii ndio anasema bibi anaua watoto wa mwanae.
Basi eti mke analia, mume ambaye ndio mtoto wa mama mkwe anajifanya haelewi Kwanini mama yake anakula watoto, hiyo drama Sasa ya huyo bibi mla wajukuu sasa anavyoongea🤣🤣🤣🤣🤣,
Basi nabii akapiga maombi bibi kala mweleka, damu zikaanza Toka puani, nabii ananena Kwa lugha na kumpa option mbili, afe au aseme ukweli, bibi ndio kuanza kusema Samahani, anaambiwa arudishe mtoto.
Sasa basi mtoto aliyefariki kaombewa kafufuka yaani bibi kamrudisha, basi mtoto si kafufuka bwana, was a Nice Drama! Hiiii kuchelewa kulala Kuna mengiii.....
Anyways, naomba tukipata muda tutafakari mstari huu
MATHAYO7:15-29.
Uliadimika bro humu JF. Vipi bro wake na mke wake wanaendeleaje? Yule mtoto wa miujiza wa bro wako anaendeleaje?Daaah..... Elimu kweli ni kitu muhimu. Mwandishi hana tofauti na huyo nabii. Anaandika pumba na hakuna anachoeleweka kama anasimulia watoto wenzie huju akicheka cheka. Kwa nini hampendi kuwa na akili?
Jaribu kufuatilia mwenyewe usipende kuhadithiwa mamboSijafuatilia ya Mwamposa,na yeye ana hizi drama kwani?
Ni nani huyo? Kuhani Mussa ama?Samahani nabii Kiboko ya uchawi, mbona nakusikiliza hapa hii kama futuhi?
Aiseee huu ni mchezo wa kuigiza kabisaaa. Eti bibi katoka kijijini amefikia Kwa mwanae, Kuna watoto watatu wamefariki, wawili walishazikwa na Sasa Kuna msiba wa mtoto mwingine,baada ya kumpigia simu nabii ndio anasema bibi anaua watoto wa mwanae.
Basi eti mke analia, mume ambaye ndio mtoto wa mama mkwe anajifanya haelewi Kwanini mama yake anakula watoto, hiyo drama Sasa ya huyo bibi mla wajukuu sasa anavyoongea🥺
Basi nabii akapiga maombi kwenye simu , mtoto wake anasema kwenye simu bibi kala mweleka, damu zikaanza Toka puani, nabii ananena Kwa lugha na kumpa option mbili, afe au aseme ukweli, bibi ndio kuanza kusema Samahani, nimekumbuka Leo,Basi anaambiwa arudishe mtoto.
Sasa basi mtoto aliyefariki kaombewa na nabii Ili afufuke, basi mtoto si kafufuka bwana,
was a Nice Drama! Hiiii kuchelewa kulala Kuna mengiii.....
Anyways, naomba tukipata muda tutafakari mstari huu
MATHAYO7:15-29.
KabisaMwambie Nabii nina million 100 amfufue kuna mzee mmoja anilipe hela yangu tu halafu yeye Nabii atajua la kumfanya huyo mfu.
Akili za masikini ndio hufikwa na hawa manabii mwenye lishe bora hawezi kuwaamini hawa wachawi wa mchana.
Nini kimetokea 😂😂😁😁😀"Apostro kuna muujiza huku..."
Joannah wewe si umeokoka lakiniSamahani nabii Kiboko ya uchawi, mbona nakusikiliza hapa hii kama futuhi?
Aiseee huu ni mchezo wa kuigiza kabisaaa. Eti bibi katoka kijijini amefikia Kwa mwanae, Kuna watoto watatu wamefariki, wawili walishazikwa na Sasa Kuna msiba wa mtoto mwingine,baada ya kumpigia simu nabii ndio anasema bibi anaua watoto wa mwanae.
Basi eti mke analia, mume ambaye ndio mtoto wa mama mkwe anajifanya haelewi Kwanini mama yake anakula watoto, hiyo drama Sasa ya huyo bibi mla wajukuu sasa anavyoongea[emoji3064]
Basi nabii akapiga maombi kwenye simu , mtoto wake anasema kwenye simu bibi kala mweleka, damu zikaanza Toka puani, nabii ananena Kwa lugha na kumpa option mbili, afe au aseme ukweli, bibi ndio kuanza kusema Samahani, nimekumbuka Leo,Basi anaambiwa arudishe mtoto.
Sasa basi mtoto aliyefariki kaombewa na nabii Ili afufuke, basi mtoto si kafufuka bwana,
was a Nice Drama! Hiiii kuchelewa kulala Kuna mengiii.....
Anyways, naomba tukipata muda tutafakari mstari huu
MATHAYO7:15-29.
Ukiwa umeokoka haupaswi kuwa na mashaka na huduma yoyote ya kiroho , au mtumishi yoyote usiwe na mashaka naeNDIO kaka...kwani vipi,weka vizuri swali mpendwa
Haya maigizo alijaribu kunichezea nabii flora wakati naingia Dar akachemkaYaani ni upumbavu wa hali ya juu aisee