Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shtukeni mnaibiwa nyieKuna mgonjwa icu muhimbili kaombewa last week kapona
Kuna.mwingine alitoka na oxygen muhimbili eti kapelekwa kanisani kwake
Nikajiuliza icu ya muhimbili mtu anaingia tu anavojiskia??
Ni mkongo yuleKasema yupo Buza,hata jina lake hataji zaidi anajiita Nabii kiboko ya uchawi....ana lafudhi ngeni kama mkongomani
Asante sana, natamani kuendelea kuuliza lakini ngoja nisikusumbue, thank.Kwa upeo wangu,Mungu amempa kila mmoja wetu akili na utashi, uwezo wa kuchagua mambo mema na mabaya,amekupa ruhusa ya kuchagua upande unaoutaka....ndio maana anaruhusu Haya Ili wewe Binafsi uchague lililo Jema .....kama wakristo tuna kila sababu ya kujifunza kumjua sana Mungu na kuyatenda Mapenzi yake,na kuzishika amri zake bila kuyumbishwa na manabii fake
Watu wa siku hizi wanapenda kusingizia wamerogwaaa!yaani mtu anachezea maisha yake mwenyewe hataki shule,Hana mipango endelevu ila akikwama utasikia nimerogwa na baba mkubwa,,ndio mbio kwenye hayo makanisaHuyu nabii kashamaliza ziara yake huku kwetu...😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Maana magari yote rout zilikua huko huko kwake tu
basi at least usali kwenye makanisa rasmi,
hawa motivation speakers sio poa
Sema nabii anaupiga mwingi nyie...Watu wa siku hizi wanapenda kusingizia wamerogwaaa!yaani mtu anachezea maisha yake mwenyewe hataki shule,Hana mipango endelevu ila akikwama utasikia nimerogwa na baba mkubwa,,ndio mbio kwenye hayo makanisa
labda useme ni mungu yupi ndo sahihi, Allah, au Yahweh....
wasioamini tunashindwa kuchagua
Jehovah..mwenye majina yote mazuriMimi simjui Mungu mwingine zaidi ya yule aliyeziumba mbingu na nchi, hata akamwagiza nabii wake Musa ya kwamba mwanadamu asiwe na miungu mingine isipokuwa yeye...
ungezaliwa na kukulia maisha ya kiislamu usingesema hivyo,Mimi simjui Mungu mwingine zaidi ya yule aliyeziumba mbingu na nchi, hata akamwagiza nabii wake Musa ya kwamba mwanadamu asiwe na miungu mingine isipokuwa yeye...
ungezaliwa na kukulia maisha ya kiislamu usingesema hivyo,
ndo maana hatuamini, kwasababu dini ni ubinafsi....
kwahiyo msiwe natudharau tuna sababu zetu
barikiwa sana Watu8Ni kweli...
Mkuu ukiona mkristo anadharau au kumsema vibaya yule asiye wa imani yake, basi ujue huyo si mfuata neno la Yesu Kristo...kama ilivyoandikwa na nanukuu mafunzo ya Kristo mwenye
Luka 10
27 Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.
Tapeli huyo namfahamuAna upuuzi mwingi sana
Dini ya shetani na majini wema.....Mathayo 7:6Bado hamjachelewa karibuni kwenye dini ya kweli (Islam) .
Acha apige pesa za maboyaMi ndio nimemsikia Jana,ana utapeli wa wazi sana