Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Muujiza kama kidogo? Huyu atueleze alioanda basi gani kwenda huko kuzimu? Atuonyeshe na tiketiAposto kuna muujiza huku🤣🤣🤣🤣
Ukiristo sasa hivi umejidhalilisha sana...yaan ukiristo umegeuka mwanasesere
Hutaki miujiza?My people are destroyed by the lack of knowledge Hosea 4 :6.
Bujibuji tunakuja soon kukupigia kura ya kutokuwa na imani nawe aisee.😀View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
Haha hahah haha Tatepa wapi mkuu? Mapopo ni wajanja sana lakini mafala sana. Wanaijeria ndio wanaongoza kwa utapeli na pia wanaongoza kwa kutapelikaBujibuji tunakuja soon kukupigia kura ya kutokuwa na imani nawe aisee.😀
Hii si tatepa hii kha!🤣🤣🤣🤣🤣
Many will die because of ignorance of God secrets..... Huyo ameshinda mkanda wakumtukuza shetani... Maana hata Yesu alishuka kuzimu akamfunga pingu na mpaka leo amefungwa je alimkabidhi vipi mkanda?View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
Refa alikuwa nani? Pambano liliandaliwa na nani?Hiyo closed door nani alishuhudia?
Alimuacha shetty katika hali gani?
Hata selfie na shetani aliyejikunyata kwa kipondo hajatulete...
Mimi nimegoma kumuamini nabii
Babu kuwa uyaoneMany will die because of ignorance of God secrets..... Huyo ameshinda mkanda wakumtukuza shetani... Maana hata Yesu alishuka kuzimu akamfunga pingu na mpaka leo amefungwa je alimkabidhi vipi mkanda?
Ikiwa Yulusifa angekuwa hai Dunia ingekuwa bahari ya Moto na maumivu ambayo binadam hayajaona tangu kuubwa kwa dunia
Wametoa na sadaka ya pongezi ya ushindiNa unaweza kukuta kuna watu wamemuamini!
Kuhusu aliyeandaa pambano, kwa vyovyote atasingiziwa Yesu.Refa alikuwa nani? Pambano liliandaliwa na nani?