Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Hao mbona wakosekani ndgNa unaweza kukuta kuna watu wamemuamini!
Hii kali
Na pambano nani alikuwa promoterDah.. Inabidi mchungaji atufahamishe pambano lilikua la uzito gani,raundi ngapi na ameshindaje kwa point or kwa K O?
Ni kweli. Ndiyo maana hafanani na sisi kimawazo wala kiutendaji...Mungu ni mvumilivu sana yani.
AiseeeNini Kimetokea ? [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
View attachment 2411061
Naona umechekaaa kwrikweri[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]