Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

Mh kumbe kuzimu wame endelea Wana miliki mpaka viwanda vya kutengeneza mikanda Mimi nilijua ni🔥🔥🔥mwanzo mwisho😂😂😂😂
 
Nnachojua hii michezo ya mikanda ni michezo isiyohusisha uadui yani watu wanapelekeana ndoige ile wanabaki kuwa na amani kwaiyo nabii na shetty wote ni wapiga masumbwi na hawana noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…