Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Muujiza kama kidogo?Aposto kuna muujiza huku🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muujiza kama kidogo?Aposto kuna muujiza huku🤣🤣🤣🤣
Wanaijeria wanazo za kuwatosha kweli?Kuhusu aliyeandaa pambano, kwa vyovyote atasingiziwa Yesu.
Nabii atakuwa amewaokota wengi na safari hii ataenda tena kumtonesha vidonda shetani na kupata mkanda mwingine
Watu wanakaribia milioni 200 tegemea wingi wa mazuzu piaWanaijeria wanazo za kuwatosha kweli?
China ina 1.4 Bil mbona mazuzu hawapo?Watu wanakaribia milioni 200 tegemea wingi wa mazuzu pia
Ni vile wanawadhibiti.China ina 1.4 Bil mbona mazuzu hawapo?
Mmmmmhhhhhhh!!!! Hivi hawa mitume UCHWARA wanawaonaje wenzao?View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
View attachment 2411061
Shetani wa mru ni mtu mwenyewe.Mmmmmhhhhhhh!!!! Hivi hawa mitume UCHWARA wanawaonaje wenzao?
1. Yaani shindano kati yake na shetani halafu kuna MKANDA???🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2. Nani mwandaji wa shindano, akinanani makamisaa wa mchezo, refa, mfadhili na vile vibinti.....???
3. Ni nini lengo la mashindano haya?
HUU UTAPELI KAMA ULIVYO UTAPELI MWINGINE.... ILA NAHISI HUYU NJAA IMETOKA TUMBONI IMEHAMIA KICHWANI
Alitunukiwa na mizimuSisi tutajuaje kama n kweli alimtwanga sheitwan? Na huo mkanda ni Nani alimtunukia??
Na kumpigia makofi na vigelele kwa shangwe kabisa kufurahia huo ushindiWametoa na sadaka ya pongezi ya ushindi
😂😅🤣😆🤪Na kumpigia makofi na vigelele kwa shangwe kabisa kufurahia huo ushindi
Ni vile wanawadhibiti.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shetani wa mru ni mtu mwenyewe.
Jamaa kapigana na kivuli chake
Unafaa kuwa muumini wa huyo champion, aliyejinyakulia belt, ukishaamini ujinga kama huo unaoamini tayari wewe ni mateka tu.Even mpagani au mtu wa dini yeyote kama unataka kujuwa hii nguvu ya jina Yesu litaje ktk jambo lolote utakacho kiona utakuja kushuhudia.. shetani sio tu anakula wanadam. Yani sisi ni chakula miili hii anakula ndio maana kuna magonjwa ya ajabu sana sio magonjwa ni maabara za shetani huko kuzimu zina fanya kazi... Unapo ona mtu ana Kansa Yani anakuwa chakula akiwa hai wanatafuta uchafu maroho machafu yanaingia ktk mwili yana leta Kansa yanakutafuna wewe unaona ugonjwa... Mtu anaitwa moyo unafikiri moyo no sio moyo ni kazi ya maabara za kuzimu kutengeneza viumbe kuitafuna mioyo yetu.. unaliwa ukiwa hai... Yani unaliwa kama fisi au mbwa mwitu wanavyo kula wanyama wenzak wakiwa hai... Yani ni shida. Mtu wa Mungu funguka or u will die.
Walokole ni branch iliyo ji separate toka protestant na toka RC.A Protestant is a Christian who belongs to the branch of the Christian church which separated from the Catholic church in the sixteenth century.
![]()
Protestant definition and meaning | Collins English Dictionary
Protestant definition: A Protestant is a Christian who belongs to the branch of the Christian church which... | Meaning, pronunciation, translations and exampleswww.collinsdictionary.com
For sure madamUkiristo sasa hivi umejidhalilisha sana...yaan ukiristo umegeuka mwanasesere
Ukiristo ndo nn???Ukiristo sasa hivi umejidhalilisha sana...yaan ukiristo umegeuka mwanasesere
Nini Kimetokea ? [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aposto kuna muujiza huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]