Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

Kuhusu aliyeandaa pambano, kwa vyovyote atasingiziwa Yesu.

Nabii atakuwa amewaokota wengi na safari hii ataenda tena kumtonesha vidonda shetani na kupata mkanda mwingine
Wanaijeria wanazo za kuwatosha kweli?
 
View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.

Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.

Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
View attachment 2411061
Mmmmmhhhhhhh!!!! Hivi hawa mitume UCHWARA wanawaonaje wenzao?
1. Yaani shindano kati yake na shetani halafu kuna MKANDA???🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

2. Nani mwandaji wa shindano, akinanani makamisaa wa mchezo, refa, mfadhili na vile vibinti.....???

3. Ni nini lengo la mashindano haya?

HUU UTAPELI KAMA ULIVYO UTAPELI MWINGINE.... ILA NAHISI HUYU NJAA IMETOKA TUMBONI IMEHAMIA KICHWANI
 
Mmmmmhhhhhhh!!!! Hivi hawa mitume UCHWARA wanawaonaje wenzao?
1. Yaani shindano kati yake na shetani halafu kuna MKANDA???🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

2. Nani mwandaji wa shindano, akinanani makamisaa wa mchezo, refa, mfadhili na vile vibinti.....???

3. Ni nini lengo la mashindano haya?

HUU UTAPELI KAMA ULIVYO UTAPELI MWINGINE.... ILA NAHISI HUYU NJAA IMETOKA TUMBONI IMEHAMIA KICHWANI
Shetani wa mru ni mtu mwenyewe.
Jamaa kapigana na kivuli chake
 
Even mpagani au mtu wa dini yeyote kama unataka kujuwa hii nguvu ya jina Yesu litaje ktk jambo lolote utakacho kiona utakuja kushuhudia.. shetani sio tu anakula wanadam. Yani sisi ni chakula miili hii anakula ndio maana kuna magonjwa ya ajabu sana sio magonjwa ni maabara za shetani huko kuzimu zina fanya kazi... Unapo ona mtu ana Kansa Yani anakuwa chakula akiwa hai wanatafuta uchafu maroho machafu yanaingia ktk mwili yana leta Kansa yanakutafuna wewe unaona ugonjwa... Mtu anaitwa moyo unafikiri moyo no sio moyo ni kazi ya maabara za kuzimu kutengeneza viumbe kuitafuna mioyo yetu.. unaliwa ukiwa hai... Yani unaliwa kama fisi au mbwa mwitu wanavyo kula wanyama wenzak wakiwa hai... Yani ni shida. Mtu wa Mungu funguka or u will die.
Unafaa kuwa muumini wa huyo champion, aliyejinyakulia belt, ukishaamini ujinga kama huo unaoamini tayari wewe ni mateka tu.
 
A Protestant is a Christian who belongs to the branch of the Christian church which separated from the Catholic church in the sixteenth century.

Walokole ni branch iliyo ji separate toka protestant na toka RC.
Hivyo wao si waprotestanti.
 
Back
Top Bottom