PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 713
- 1,208
Aahhhh chief..kwan mkojo unakuaga na chumvi hivi???Huo ni mkojo sio chai
"Nilikuwa peke yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"
Mkojo sio chai🤣😂😂Huo ni mkojo sio chai
"Nilikuwa peke yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"
Ni Bora Giggy Manee abaki Ila huyu jamaa afe aisee...MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.
Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Sio huyu jamaa mwache abaki.. ila bora wanaomsikiliza na kumoa sadaka zao hao ndio wafe watokomee kabisaaa!!Ni Bora Giggy Manee abaki Ila huyu jamaa afe aisee...
Chai maji matupuMAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.
Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Hapa ndipo chai ilipokorogwa na chumviHuo ni mkojo sio chai
"Nilikuwa peke yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"
HahahaNi Bora Giggy Manee abaki Ila huyu jamaa afe aisee...
Drama in African continent will not end.Huo ni mkojo sio chai
"Nilikuwa peke yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"
AiseeeeeNi Bora Giggy Manee abaki Ila huyu jamaa afe aisee...