Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA

"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa

Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.

Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Ubwege huu
 
Sishangai kwa prophet kumfufua mtu.. lakini kwa jinsi alivyo wasilisha shuhuda yake inaleta utata... But tusikatae wala kukosoa.. Tuendelee kuyaishi maisha, kwani Mungu ni wakwetu sote.. kuna nabii mmoja anakauli yake anasema "Mungu anawatu wengi"
Mungu angekuwepo, isingehitajika kumfufua mtu.

Mtu asiyetaka kufa, asingekufa.

Mtu asiyetaka kufa akifa, huo ni ushahidi Mungu hayupo.

Umeelewa?
 
MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA

"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa

Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.

Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Haya ahsante nabii haya wenye dini yenu hongereni kwa kufufua watu kweli omba mungu akupe akili hii dini ni ya mazwazwa kama MK254
 
Unataka kusema mungu hayupo??
Mungu ni hadithi iliyotungwa na watu.

Mungu huyo mnayemsoma kwenye Biblia na Quran (muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote) ukimpima kimantiki unaona kabisa hayupo, kuna contradictions za kimantiki zinaonesha kirahisi tu kwamba huyo Mungu hayupo na hawezi kuwepo.

Tatizo watu wamerithishwa uongo kwamba yupo kwa vizazi na vizazi inakuwa vigumu kukubali kwamba hayupo.

Kwenye saikolojia hiki kitu kinaitwa "cognitive dissonance".
 
Angekuwa Rwanda, Kagame asingemuacha uraiani
Malisa anatekeleza haki yake ya kikatiba na kibinadamu. Uhuru wa kuabudu. Hii ni haki ya kikatiba, pia ni haki ya kibinadamu iliyopo katika Universal Declaration of Human Rights tangu December 10 1948.

Hakuna kosa alilofanya hapo.

Kagame anakosea sana kuingilia haki za watu za kibinadamu.

Huwezi kufuta ujinga kwa sheria na ubabe.

Ujinga unafutwa kwa elimu.

Haya makanisa ya kina Malisa ukitaka kiyafungia, yataenda underground usiyaone, yafanye mambo yao sirini, ukose hata kujua kinachoendelea.

Kanisa lina uzoefu mkubwa sana wa kufanya kazi underground, ndipo lilipoanzia, Ufalme wa Kirumi ukalifungia, mpaka Mfalme Constantine mwenyewe akalokuhali.
 
Kwa akili hizo ndio maana mnaambiwa Abdul ni delegate wa serikali kwenye msafara ulioenda Dubai.
 
Back
Top Bottom