Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah chief ndio afariki alafu apige simu mwanae aje kumfufua🤣🤣🤣Ukiamini Mungu yupo kweli, hutakiwi kukataa kuwa habari hii inawezekana kuwa ya ukweli.
Ni fact coz tunazungumzia Mungu ambaye hatujawai muona, Lakin mkuu kuamini kama yupo kunakuja kwenye uwepo kwa Ulimwengu wa ibirisi coz yupo against na Faithfull of God.Mungu ni hadithi iliyotungwa na watu.
Mungu huyo mnayemsoma kwenye Biblia na Quran (muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote) ukimpima kimantiki unaona kabisa hayupo, kuna contradictions za kimantiki zinaonesha kirahisi tu kwamba huyo Mungu hayupo na hawezi kuwepo.
Tatizo watu wamerithishwa uongo kwamba yupo kwa vizazi na vizazi inakuwa vigumu kukubali kwamba hayupo.
Kwenye saikolojia hiki kitu kinaitwa "cognitive dissonance".
Ukiamini Mungu hiyo story hutakiwi kuihoji kwamba haiwezekani.Aaah chief ndio afariki alafu apige simu mwanae aje kumfufua🤣🤣🤣
Nilikuwa peke yangu,nikafariki,nikampigia simu akaja kunifufuaMAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.
Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Ukiamini kuwa Ibilisi yupo wakati Mungu hayupo ni sawa na kuamini kuwa kivuli chako kipo wakati wewe mwenyewe haupo.Ni fact coz tunazungumzia Mungu ambaye hatujawai muona, Lakin mkuu kuamini kama yupo kunakuja kwenye uwepo kwa Ulimwengu wa ibirisi coz yupo against na Faithfull of God.
***** walahi"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Wapi nakala ya death certificate?"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka
Utapeli mkuuHiki nacho ni kipaji?
Tapeli Wala sio kipajiKipaji, tena cha hali ya juu. Huyu jamaa ni mzinga wa tapeli.
Hao watu waliotunga hadithi walikujaje hapa duniani?Hakuna Mungu, hakuna Ibilisi, hizo zote ni hadithi za kutunga za watu tu.
Nilitoa kisa mwaka flani tulimpeleka dada yetu Kwa huyu jamaa ndo nikagundua ni tapeli sema kwamba Mimi nilikuwa nimegoma ila shinikizo la ndg ikatulazimu twende akaombewe asee ni utaperi mtupu Wala hakuponaHaya mambo haifai kuwaelezea watu wazima,waliokomaa kiakili,watoto tu na watu wazima mazombi ndo watasikiliza.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Hilo halipo Kwa manabii Hawa kama kweli anafufua watu aende makaburini au chato akamfufue mtetezi wa wanyongeSishangai kwa prophet kumfufua mtu.. lakini kwa jinsi alivyo wasilisha shuhuda yake inaleta utata... But tusikatae wala kukosoa.. Tuendelee kuyaishi maisha, kwani Mungu ni wakwetu sote.. kuna nabii mmoja anakauli yake anasema "Mungu anawatu wengi"
Kama na Mungu anasimu sawa mkuu sikatai [emoji23][emoji23][emoji23]Ukiamini Mungu yupo na anaweza kufanya miujiza yote, huna msingi wa kukataa hilo.
Kwa sababu ukikataa habari hiyo, kimsingi utakuwa unasema Mungu hana uwezo wa kumpa mfu simu apige kuongea na nabii, halafu nabii akamfufua.
Ukiamini Mungu yupo na anaweza kufanya miujiza, huna msingi wa kukataa habari hii categorically.
Napokea napokea na sadaka unatoa[emoji1787][emoji1787]Nawewe sema " napokea"
C kdg mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Nabii tena? Aise watu mna kufuru