Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA

"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa

Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.

Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Nchi hii imejaa watu wajinga sana
~Dr mollel
Cc. Elli
 
God is not a scientific fact for his existence to be scientifically proved.. If you can prove his existence then he is officially disqualified to be God.

U need to remember that "Proof" is a scientific invention. It is something which was invented by scientists in order to help them with their experiments

Before the invention hakukuwaga na kitu kinaitwa " proof"
Mfano before time was invented kipindi hakuna saa wala mambo ya muda halafu ukamtuma mtu aende sehemu then mtu huyo akachelewq, tell me how do u proof kwamba amechelewa?



Hujathibitisha Mungu yupo.

Umetoa kauli ya imani tu kwamba Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
God is not a scientific fact for his existence to be scientifically proved.. If you can prove his existence then he is officially disqualified to be God.

U need to remember that "Proof" is a scientific invention. Is something which was invented by scientists in order to help them with their experience.

Before the invention hakukuwaga na kitu kinaitwa " proof"
Mfano before time was invented kipindi hakuna saa wala mambo ya muda halafu ukamtuma mtu aende sehemu then mti huyo akachelewq how do u proof kwamba amechelewa?
Is it possible that God does not exist, and that is why you can't prove the existence of God?
 
Ukiamini Mungu yupo kweli, hutakiwi kukataa kuwa habari hii inawezekana kuwa ya ukweli.
Zingatia hapa,

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Hii sentensi haihitaji akili kubwa kuielewa

Yaani maiti ipige simu!?!!!
 
Haya ahsante nabii haya wenye dini yenu hongereni kwa kufufua watu kweli omba mungu akupe akili hii dini ni ya mazwazwa kama MK254

Wewe huna jeuri ya kuelekeza yeyote kwenye masuala ya kiimani hadi uache kuabudu huyu na mauchafu yake MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSANHadith Idadi 16,245
 
Zingatia hapa,

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Hii sentensi haihitaji akili kubwa kuielewa

Yaani maiti ipige simu!?!!!
Nakwambia hivi.

Ukiamini Mungu wa miujiza, huna msingi wa kukataa habari hii categorically.

Kwa sababu, kukataa hivyo, utakuwa unakataa uwezo wa Mungu kufanya muujiza mdogo tu kama huu.

Yani utakuwa unasema kuwa Mungu anaweza kufanya miujiza yote ya kuendesha ulimwengu, halafu akashindwa kumpa simu mfu mmoja aonhee na nabii kisha afufuliwe?

Utakuwa unaipinga imani yako kwa huyo Mungu wa miujiza.
 
Is it possible that God does not exist, and that is why you can't prove the existence of God?

Ulipokuwa unaishi kwa wazazi wako ulikuwa unalala kwenye kitanda. Right? Do u know who made the bed that u was using to sleep on? Can you prove to us about his existence?
 
Back
Top Bottom