Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Waulize wanaosema kamfufua mama yake alimfufua kwa kumtumia Mungu gani?
Wewe ndiye umemtaja Mungu wa kuchonga.

Uliuliza hivi.

"Mungu wa kuchonga au Mungu yupi?"

Kwani kuna Mungu gani asiye wa kuchonga? Unaweza kuthibitisha kwamba kuna Mungu asiye wa kuchonga?
 
Wewe ndiye umemtaja Mungu wa kuchonga.

Uliuliza hivi.

"Mungu wa kuchonga au Mungu yupi?"

Kwani kuna Mungu gani asiye wa kuchonga? Unaweza kuthibitisha kwamba kuna Mungu asiye wa kuchonga?
Wewe Mungu wako ni wa kuchonga au unamzungumzia Mungu gani?
 
Ulipokuwa unaishi kwa wazazi wako ulikuwa unalala kwenye kitanda. Right? Do u know who made the bed that u was using to sleep on? Can you prove to us about his existence?
Logical non sequitur.

Mimi kutojua nani katengeneza kitanda hakuthibitishi Mungu yupo.

Mimi sijasema namjua aliyetengeneza kitanda nilicholalia, nasema wewe huwezi kuthibitisha Mungu unayemsema yupo yupo kweli.

Usihamishe goli.

Mimi naweza kusema siwezi kuthibitisha lolote kuhusu hicho kitanda, lakini hilo bado halithibitishi Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Logical non sequitur.

Mimi kutojua nani katengeneza kitanda hakuthibitishi Mungu yupo.

Mimi sijasema namjua aliyetengeneza kitanda nilicholalia, nasema wewe huwezi kuthibitisha Mungu unayemsema yupo yupo kweli.

Usihamishe goli.

Mimi naweza kusema siwezi kuthibitisha lolote kuhusu hicho kitanda, lakini hilo bado halithibitishi Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.

Nimeshakujibu awali nimesema kwamba.

1.God is not a scientific fact for his existence to be scientifically proved...

2. Kuthibitisha ama uthibitisho ni dhana iliyo buniwa na wanasayansi ili iwasaidie katika tafiti na majaribio yao ya kisayansi lakini kiukweli hata uthibitisho wa hiyo dhana yenyewe inayoitwa " uthibitisho" unaweza kuwa challenged vizuri sana. Wanasheria wanalijua hilo ndio maana nao wamebuni two standards of proof. Lakini pamoja na hizo standard zao za proof walizo zi adopt lakini still wanakubaliana kwamba things which cannot be proved in court of laws do exist.


3. Nikatoa mfano unao " proof" kwamba dhana ya " proof" ilibuniwa tu na wanasayansi, kabla ya kubuniwa kwa muda na nyakati enzi hakuna saa ungemtuma mtu aende mahali ambapo anatakiwa kutumia dakika 10 yeye akatumia masaa ma3. Usingeweza kumwambia kwamba amechelewa kwa sababu usingeweza ku prove kwamba amechelewa..
 
Nimeshakujibu awali nimesema kwamba.

1.God is not a scientific fact for his existence to be scientifically proved...

2. Kuthibitisha ama uthibitisho ni dhana iliyo buniwa na wanasayansi ili iwasaidie katika tafiti na majaribio yao ya kisayansi lakini kiukweli hata uthibitisho wa hiyo dhana yenyewe inayoitwa " uthibitisho" unaweza kuwa challenged vizuri sana. Wanasheria wanalijua hilo ndio maana nao wamebuni two standards of proof. Lakini pamoja na hizo standard zao za proof walizo zi adopt lakini still wanakubaliana kwamba things which cannot be proved in court of laws do exist.


3. Nikatoa mfano unao " proof" kwamba dhana ya " proof" ilibuniwa tu na wanasayansi, kabla ya kubuniwa kwa muda na nyakati enzi hakuna saa ungemtuma mtu aende mahali ambapo anatakiwa kutumia dakika 10 yeye akatumia masaa ma3. Usingeweza kumwambia kwamba amechelewa kwa sababu usingeweza ku prove kwamba amechelewa..
Nikikukubalia sawa Mungu yupo, nikakwambia kimba langu nililokunya asubuhi leo ndiye Mungu, na huo ni ukweli ila si scientific fact hivyo hakuna proof, utakubali kimba langu hilo ni Mungu?
 
Haiwezi kuwa kweli kwa sababu kimba linajulikana ni kimba
Nikikukubalia sawa Mungu yupo, nikakwambia kimba langu nililokunya asubuhi leo ndiye Mungu, na huo ni ukweli ila si scientific fact hivyo hakuna proof, utakubali kimba langu hilo ni Mungu?
 
Amini usiamini waumini wa hayo makanisa ya manabii na mitume hawawezi hata kung’amua kuwa hapa tunapangwa/kupiga wao ni amen tu!

Na wengi ni wanawake ni rahisi sana kushawishi mwanamke kuliko kumshawishi mwanaume!
Ukweli kiasi chake lkn Kuna midume na kitambo kabisa inavaa tai unaenda Kwa nabii
 
Back
Top Bottom