Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Binafsi nakubaliana naye, sasa niwabishie nilikuwepo?

Kwa kweli CCM ****** zenu 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana usiku usiku.
 
HUU NI USHAHIDI MALISA AKIWA NA MAMA YAKE MADHABAHUNI WAKIMIMINA USHUHUDA MBELE YA WAUMINI WAO.

Mbaya zaidi Kuna wanaume wenzetu nao wanashangilia.

Itakuchukua muda usiopungua miaka 31au zaidi na pengine usifanikwe kunishawishi Mimi kurudi Tena kanisani.
Mara papa anaruhusu ushoga,kubadiri jinsia mtu anayepinga anatimuliwa kazi. Asee waafrica Kuna haja ya kujitafakari sana.

 
Sawa ila ndio nenda kanisani ukaimbe na kufufuana ndio ujinga wenu huo kwani ujinga huwa hamuachi nyie mnadanganyana kama mmezaliwa jana

Aibu sana mtu kwa akili zako unabinuka kumuabudu huyu MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSANHadith Idadi 16,245
 
MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA

"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki halafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa

Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Itakupasa uwe na akili mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwaelewa Hawa.

Unakubalina naye??
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

View attachment 2832211

Naona kuna wa Mama watu wazima hapo wanasikiliza, Tanzania? Very dark country!
 
Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
Nilienda family Moja nikakutana na hayo maji ya upako ya mwamposa Kwa kuwa ni mgeni sikubisha kabula hujalala Wana kumwagia Daah[emoji38][emoji38]
 
HUU NI USHAHIDI MALISA AKIWA NA MAMA YAKE MADHABAHUNI WAKIMIMINA USHUHUDA MBELE YA WAUMINI WAO.

Mbaya zaidi Kuna wanaume wenzetu nao wanashangilia.

Itakuchukua muda usiopungua miaka 31au zaidi na pengine usifanikwe kunishawishi Mimi kurudi Tena kanisani.
Mara papa anaruhusu ushoga,kubadiri jinsia mtu anayepinga anatimuliwa kazi. Asee waafrica Kuna haja ya kujitafakari sana.View attachment 2832644


Upumbavu huu, shenzy kabisa.
 
Back
Top Bottom