binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Binafsi nakubaliana naye, sasa niwabishie nilikuwepo?
Kwa kweli CCM ****** zenu 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana usiku usiku.
Kwa kweli CCM ****** zenu 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana usiku usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagame kafunga makanisa mengi sana ya wasiojielewa kama hawaKivipi
Sawa ila ndio nenda kanisani ukaimbe na kufufuana ndio ujinga wenu huo kwani ujinga huwa hamuachi nyie mnadanganyana kama mmezaliwa jana
Aiseeee.Sisikitiki kwa anachokisema, nasikitika kwa kuwaona hao wanaopiga makofi na wengine naona hadi wanatokwa machozi!
Una kingine mkuu?Hivi kuna ushahidi wa video akitamka hayo?
MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki halafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akili mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwaelewa Hawa.
Unakubalina naye??
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2832211
Nilienda family Moja nikakutana na hayo maji ya upako ya mwamposa Kwa kuwa ni mgeni sikubisha kabula hujalala Wana kumwagia Daah[emoji38][emoji38]Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
Wajinga ni wengi sana Nchi hii aseeIla kuna watu wanashangaza sana
Ifike hatua serikali ifunge makanisa haya maana wajinga hawishi kabisa na pengine ndo mama zetu HawaSisikitiki kwa anachokisema, nasikitika kwa kuwaona hao wanaopiga makofi na wengine naona hadi wanatokwa machozi!
Na wanakuwaga kama kalishwa dawa huwezi mwambia akakuelewa labda utumie mamlaka au nguvu ya ukubwa wakoNilienda family Moja nikakutana na hayo maji ya upako ya mwamposa Kwa kuwa ni mgeni sikubisha kabula hujalala Wana kumwagia Daah[emoji38][emoji38]
Nadhani hii nchi tumuuzie Kagame....Ila kuna watu wanashangaza sana
Afya ya akiliSisikitiki kwa anachokisema, nasikitika kwa kuwaona hao wanaopiga makofi na wengine naona hadi wanatokwa machozi!
HUU NI USHAHIDI MALISA AKIWA NA MAMA YAKE MADHABAHUNI WAKIMIMINA USHUHUDA MBELE YA WAUMINI WAO.
Mbaya zaidi Kuna wanaume wenzetu nao wanashangilia.
Itakuchukua muda usiopungua miaka 31au zaidi na pengine usifanikwe kunishawishi Mimi kurudi Tena kanisani.
Mara papa anaruhusu ushoga,kubadiri jinsia mtu anayepinga anatimuliwa kazi. Asee waafrica Kuna haja ya kujitafakari sana.View attachment 2832644