Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Nimejikuta nacheka kwa sauti wakati nilikuwa cool kwenye kusoma comments
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IMANI = Kuiondoa akili(ubongo) katika mfumo wa utendaji kazi wake wa asili.Sisikitiki kwa anachokisema, nasikitika kwa kuwaona hao wanaopiga makofi na wengine naona hadi wanatokwa machozi!
Aisee..Sisikitiki kwa anachokisema, nasikitika kwa kuwaona hao wanaopiga makofi na wengine naona hadi wanatokwa machozi!
Shida yako ni Nini kama mtume aliweza kuushusha mwezi angan kama boga na kuupasua vipande viwiliSisikitiki kwa anachokisema, nasikitika kwa kuwaona hao wanaopiga makofi na wengine naona hadi wanatokwa machozi!
Duuuh hizi story za kusadikikaShida yako ni Nini kama mtume aliweza kuushusha mwezi angan kama boga na kuupasua vipande viwili
Unakataa kuwa Zombie wakati akina Diamond ni MAZOMBIE?!Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
Nchi hii imejaa watu wajinga sanaHUU NI USHAHIDI MALISA AKIWA NA MAMA YAKE MADHABAHUNI WAKIMIMINA USHUHUDA MBELE YA WAUMINI WAO.
Mbaya zaidi Kuna wanaume wenzetu nao wanashangilia.
Itakuchukua muda usiopungua miaka 31au zaidi na pengine usifanikwe kunishawishi Mimi kurudi Tena kanisani.
Mara papa anaruhusu ushoga,kubadiri jinsia mtu anayepinga anatimuliwa kazi. Asee waafrica Kuna haja ya kujitafakari sana.View attachment 2832644
Hee?? Ufufuo wa Mchongo huo. Wajinga ndio waliwao."Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Mkuu huyo mama anasema alikuwa pekee yake, akafariki, halafu akiwa amefariki, akampigia simu mwanae akaja kumfufua. Labda maana ya neno kufariki tuijuayo sio aliyomaanisha!MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usishangae mama zetu ndo WAUMINI wakubwaHayo makanisa yanahudumia mazombi waliochangamka.
Alafu hapo mtu atoe sadaka iliyonona, hao waumini wanastahili kuombewa
Kweli mkuu hapo lazima usimame na kuondoka kabisa nadhani Kuna namna Fulani wanalishwq dawa wanakuwa mazezetaBila shaka hata hao wanaompigia makofi aliwafufua pia coz mtu mwenye akili timamu hawezi kupigia makofi huo upumbavu.
Mkuu hii ni zaidi ya mzigo mzito sana
Wee nae unatuongezea vitu visivyowezeka a kamwe. Hutofautiani na Hawa walioambiwa kufufuliwa wakashangilia ninyi ndo walewaleShida yako ni Nini kama mtume aliweza kuushusha mwezi angan kama boga na kuupasua vipande viwili