Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA

"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa

Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.

Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Nilikua pekeangu nikafariki, nikampigia simu akanifufua

Dah kumbe kuzimu kuna simu dadeki
 
Sishangai kwa prophet kumfufua mtu.. lakini kwa jinsi alivyo wasilisha shuhuda yake inaleta utata... But tusikatae wala kukosoa.. Tuendelee kuyaishi maisha, kwani Mungu ni wakwetu sote.. kuna nabii mmoja anakauli yake anasema "Mungu anawatu wengi"
 
Umesoma Hadi mwisho?

Mfu(marehemu) anasema alikuwa pekee yake akafa akampigia simu Malisa akaja akamfufua.

Nambie ukifa unaweza piga simu?
Ukiamini Mungu yupo na anaweza kufanya miujiza yote, huna msingi wa kukataa hilo.

Kwa sababu ukikataa habari hiyo, kimsingi utakuwa unasema Mungu hana uwezo wa kumpa mfu simu apige kuongea na nabii, halafu nabii akamfufua.

Ukiamini Mungu yupo na anaweza kufanya miujiza, huna msingi wa kukataa habari hii categorically.
 
Back
Top Bottom