bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Aliyekufa kwa mpango wa mwanadamu ufufuliwa kwa mpango wa Mungu huwezi.
Hata mganga wa kienyeji anayo maarifa ya kumfufua mtu
Hata mganga wa kienyeji anayo maarifa ya kumfufua mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vingine unajiuliza unakoswa majibu etiiHuo ni mkojo sio chai
"Nilikuwa peke yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"
Ina wajinga wengi mnooHii nchi inaujinga mwingi sana aiseeeee...... nacha kushangaza, wajinga nao hawaishi.....
Nilikua pekeangu nikafariki, nikampigia simu akanifufuaMAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.
Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Unajaribu kumcheka nabii? Angalia sana atakulaani!!!🤣🤣Ahahahahahahahah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]safi sana, piga wajinga hao
Kipaji, tena cha hali ya juu. Huyu jamaa ni mzinga wa tapeli.Hiki nacho ni kipaji?
Ujue Kuna watu wanapeleka Hadi fungu la kumiNi Bora Giggy Manee abaki Ila huyu jamaa afe aisee...
Mkuu kiranga tupe maoni YAKO [emoji23]Ukiamini Mungu yupo kweli, hutakiwi kukataa kuwa habari hii inawezekana kuwa ya ukweli.
Kwa Hili Nakubaliana na wewe. Tatizo aliyefufuliwa anadai ni yeye ndiye aliyempigia simu mfufuaji aje amfufue🙄Aliyekufa kwa mpango wa mwanadamu ufufuliwa kwa mpango wa Mungu huwezi.
Hata mganga wa kienyeji anayo maarifa ya kumfufua mtu
Umesoma Hadi mwisho?Ukiamini Mungu yupo kweli, hutakiwi kukataa kuwa habari hii inawezekana kuwa ya ukweli.
Wapimwe mkojo haraka...Ujue Kuna watu wanapeleka Hadi fungu la kumi
Ukiamini Mungu yupo, na anawezesha watu kufanya miujiza, huna msingi wa kukataa habari hii categorically.Mkuu kiranga tupe maoni YAKO [emoji23]
Alipotea naona amerudi kwa kishindoKipaji, tena cha hali ya juu. Huyu jamaa ni mzinga wa tapeli.
Ukiamini Mungu yupo na anaweza kufanya miujiza yote, huna msingi wa kukataa hilo.Umesoma Hadi mwisho?
Mfu(marehemu) anasema alikuwa pekee yake akafa akampigia simu Malisa akaja akamfufua.
Nambie ukifa unaweza piga simu?
Marehemu kupiga simu hio ni chai ya mapera kabisaKwa Hili Nakubaliana na wewe. Tatizo aliyefufuliwa anadai ni yeye ndiye aliyempigia simu mfufuaji aje amfufue�