Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

kwahy binadam anatakiwa awe kiroho zaid sio ikiwa yeye ni mwili basi kuna haja na malaika wawe kimwili japo wao ni wa roho ili mbadilishane.au we waonaje?
no haujanielewa,,yaani ukiendekeza mwili sana,ni rahisi kuingia dhambini,,mfano ukisikia nyege tu unataka ngon{utakufa kwa maradhi],,,ukitamani cha m2 utaiba{utauwawa au utafungwa}..umenielewa,sasa ni kwamba...kuna vi2 vitatu vinavomfanya binadamu kuitwa binadamu,,,,navo ni ROHO,AKILI{UBONGO] na MWILI...ktk vitu vote hivo v3,,MWILI ndo mtumwa,ingawa kati ya ubongo na roho,,,ubongo mara nyingi ndo unashinda vita ya kutawala mwli na ndo manake watu wanatenda mabaya kuliko mema!!!!!!!!!!!!!!!!1AKILI inaonea wivu ROHO kwani inajua siku ya ufufuo ROHO itaishi milele {kwa zile roho takatifu] na AKILI inajua yenyewe biashara yake inaishia hapahapa duniani,,,so,AKILLI siku zote inasisimua mwili utende madhambi ili yenyewe AKILI na ROHO zote zipotee!!!!!,,,"that was my point mazeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
 
Dogo ni wa ipogolo huyu na Mama ake mama legani alikua anapiga mishe zake kama kawaida ufufuo huu ulitokea lini?kwa Nini serikali haiwachukulii hatua matapeli kama Hawa?huu ni uongo dhahiri kabisa
 
Muhuni mmoja tu huyo choka mbaya akawa analelewa kwa shemeji yake mpaka alipopata mganga mzuri wa kuoumbaza wajinga awatoe mpunga hana uwez wa kumlaani hata nzi
Kabisa aisee Mimi namfahamu kabisa na mama ake
 
Dogo ni wa ipogolo huyu na Mama ake mama legani alikua anapiga mishe zake kama kawaida ufufuo huu ulitokea lini?kwa Nini serikali haiwachukulii hatua matapeli kama Hawa?huu ni uongo dhahiri kabisa
umeona alivoulamba ? kudadadaeq!!!,,,,palii ipupa + koffi olomide + r'kelly wote hawaoni ndani pale!!!
 
Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Mfu anapiga simu?! *****..!!
 
Kwa kuwa ni mama yake, tumsamehe tu! Hii dunia ni kupambana na maisha! 😄
 
Uwepo wa Mungu na ilo tukio la huyo jamaa ni vitu viwili tofauti kabisa.Huo wala sio uongo tu nipamoja na ujinga.
Hapana.

Usipoamini uwepo wa Mungu, kama mimi, unakosa hata msingi wa dhana ya nabii wa Mungu kumfufua mtu. Kwa hivyo hiyo dhana, kwa mtu asiyeamini uwepo wa Mungu, haikubaliki kuanzia mwanzo kabisa.

Ukishaamini uwepo wa Mungu wa miujiza, umeshafungua mlango wa kuamini ujinga huu. Ukiamini Mungu wa Biblia, kuna aya inasema fufueni wafu.

Kwenye Biblia, Mathayo 10:8 imeandikwa

"Heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy, drive out demons. Freely you have received; freely give."

Kwa hivyo, kimsingi, ukiamini Mungu wa Biblia, nabii kumfufua mtu ni agizo la kibiblia. Si kitu ambacho nabii kakitunga yeye mwenyewe.

Sasa, hapo utasemaje imani ya Mungu haina uhusiano na kumuamini huyu nabii?
 
Hapana.

Usipoamini uwepo wa Mungu, unakosa hata msingi wa dhana ya nabiibwa Mungu kumfufua mtu. Kwa hivyo hiyo dhana, kwa mtu asiyeamini uwepo wa Mungu, haikubaliki kuanzia mwanzo kabisa.

Ukishaamini uwrpo wa Mungu wa miujiza, umeshafungua mlango wa kuamini ujinga huu. Ukiamini Mungu wa Biblia, kuna aya inasdma.

Kwenye Biblia, Mathayo 10:8 imeandikwa

"Heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy, drive out demons. Freely you have received; freely give."

Kwa hivyo, kimsingi, ukiamini Mungu wa Biblia, nabii kumfufua mtu ni agizo la kibibkia.

Sasa, hapo utasemaje imani ya Mungu haina uhusiano na kumuamini huyu nabii?
Mkuu hivo tuseme wewe huamini uwepo wa Mungu ?
 
Uwepo wa Mungu hauthibitishwi au kupimwa na uongo au utapeli wa mtu.Kuongea uongo au kufanya utapeli mtu yoyote anaweza kufanya ila wote hao bado kuna mambo ambayo hawana uwezo nayo kwasababu yako nje ya uwezo wa binadamu.Hayo ni mambo ya sisi kwa sisi tu ila yako ambayo mwenye uwezo nayo ni Mungu pekee aliyeyaumba.
Saea. Uwepo wa Mungu hauthibitishwi au kupimwa na uongo au utapeli wa mtu.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Ukibisha, thibitisha kwa ukweli kwamba Mungu yupo.

Ukisema Mungu yupo nje ya uwezo wa mtu, unafungua mlango wa kuniachia mimi nikwambie kuwa mavi yangu niliyokunya asubuhi ni Mungu, ila wewe hujui tu kwa sababu hilo lipo nje ya uwezo wako kujua, na hoja yoyote utakayoitoa nitakujibu hujui kitu, hili jambo liko nje ya uwezo wako kujua.

Hapo vipi?
 
Mkuu hivo tuseme wewe huamini uwepo wa Mungu ?
Kwa nini niamini? Mungu gani?

Nipe sababu moja ya muhimu kabisa, ambayo haiwezekani kupingika kimantiki, ya kunifanya nikubali Mungu unayemsema yupo kweli nje ya hadithi zenu tu.
 
Kwa nini niamini? Mungu gani?

Nipe sababu moja ya muhimu kabisa, ambayo haiwezekani kupingika kimantiki, ya kunifanya nikubali Mungu unayemsema yupo kweli nje ya hadithi zenu tu.
Mungu yupo na haelezewi
 
Mungu yupo na haelezewi
Hii ni kauli ya kiimani, si sababu ya kimantiki.

Hata mimi naweza kukuambia kimba langu nililokunya asubuhi ni Mungu, na hilo halielezeki. Lakini je, kusema hivyo kutalifanya kimba langu nililokunya asubuhi kuwa Mungu?

Hujaweza kunipa sababu ya kimantiki isiyopingika ya kunifanya nikubali Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo. Habari za kuwepo Mungu ni hadithi za kuungwaungwa za watu tu, nje ya hizo hadithi, Mungu hayupo.

Ndiyo maana huwezi hata kutoa sababu ya kimantiki isiyopingika ya kunifanya nikubali Mungu yupo.
 
Mbona ulaya na waarabu wameletea hii laana jamani!! halafu Kwao hawakubali kudanganywa kama hivi na vitabu wameleta wenyewe!! shit!!
 
umeona alivoulamba ? kudadadaeq!!!,,,,palii ipupa + koffi olomide + r'kelly wote hawaoni ndani pale!!!
Hizo si ndio code number za upigaji ukija kama chambuko hauambulii hata mia dogo ajibrand kama tapeli ila mambo ya kujifanya nabii ni uongo mazafaka zake
 
Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Mfu anapiga simu?! *****..!!
Mama nae mwivi tu alikua na Banda lake la msosi pale stand ya dabaga huo ufufuo aliutoa wapi?Mama legani muogope Mungu uongo huu unakusaidia Nini!!!
 
MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA

View attachment 2832720
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki halafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa

Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.

"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.

Itakupasa uwe na akili mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwaelewa Hawa.

Unakubalina naye??
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

View attachment 2832211
Mbona hatusikii huo ushuhuda kutoka kwa mama kuhusu kumpigia mwanae simu baada ya kugundua amekufa?

Daah kama ni kweli kasema basi kazi ipoo
 
Back
Top Bottom