Uchaguzi 2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

Uchaguzi 2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

"nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu " Duuuu!! Nyie ndio mnakamliwa pesa na mmeshapumbazwa hamuoni kitu.

Soma habari zake:
Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Joe Devie wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.

Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum

Huyo ndiye Nabii!!! anayetaka tuchague kiongozi tunayemtaka
Kuna dada mmoja hadi kaghaili kuolewa sababu ya huyo nabii fk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiepusheni na kaeni mbali na ndimi za manabii wa uongo km huyu.....
******** karibu nchi hakuna anayeweza kumchagua....

UKIACHA wale wasaka vyeo, uchaguzi ukiwa huru na haki Basi hakuna mfanyakazi, mkulima, mfanyabiashara au MWANAFUNZI anaweza kuchagua MAGUFULI na chama Cha kigaidi na kishetani ccm
 
Haya buana
FB_IMG_1585619338559.jpeg
FB_IMG_1585619381055.jpeg
FB_IMG_1585619508921.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo anawa brainwash waumini, ana mungu wake anaitwa mungu geodavid, redio yake masaa yote ni kutangaza mpesa wafungue mikono ya nabii

Sent using Jamii Forums mobile app

Yupo kibiashara huyu Mtu na hana looote ,Wajinga wengi wametapeliwa na huyu Mtu na kubakia/kupelekea kuwa Masikini kabisa.Nimeya shuhudia na sikuhadithiwa.
 
Haya maelezo angetoa shekhe mngesema kachanganya siasa na dini ila kasema mbuzi katoliki mwenzenu...mmevaa miwani ya mbao walichofanya sahv mashekhe siasa tumewachia nyny..mnazingua tu mara waraka wa pasaka hujakaa sawa mara sijui TEC sijui mnawashwa na nini?
Mbona Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam kila siku anaipigia chapuo CCM hadharani? Tatizo siyo dini bali tatizo ni CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Hahahahaha, nabii wa manabii siyo? Mwambie asichanganye dini na siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nabii mkuu kutoka kitabu kipi cha Mungu??
Aache kujibaraguza aombee kwanza CORONA ipotee, ndiyo aje na zengwe za uchaguzi.....
Baanglaadeshiii😡

Everyday is Saturday.....................😎
Kumbe kuna manabii wakuu na wasio wakuu.....Senior prophet na junior prophets???? Hata wakati wa Yesu hawakuwepo....Kweli binadamu wa kizazi hiki ni hatari.
 
Ye kama ni mnufaika na uwepo wa MTU huyo hana haki ya kuwapangia wengine warudie makosa ili wateswe tena Miaka 5 hata Mungu atatushangaa.
 
Kama watu wataamua kurudia makosa tena watateswa sana yule MTU Furaha yake ni kuumiza watu na sio kuwafuta machozi watu kila MTU yu shahidi
 
Acha udini


USSR
Haya maelezo angetoa shekhe mngesema kachanganya siasa na dini ila kasema mbuzi katoliki mwenzenu...mmevaa miwani ya mbao walichofanya sahv mashekhe siasa tumewachia nyny..mnazingua tu mara waraka wa pasaka hujakaa sawa mara sijui TEC sijui mnawashwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom