USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
- Thread starter
- #101
Kwambie Munga.shoo na yule wa kageraSawa. lakni asichanganye dini na siasa, atakuja kamatwa madhabahuni
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwambie Munga.shoo na yule wa kageraSawa. lakni asichanganye dini na siasa, atakuja kamatwa madhabahuni
Sio kosa kisheria kula cha madhabahuniHuyu jamaa anatoza watu hela taslimu sio sadaka ya MTU kujitolea unavyowiwa alafu halipi kodi kama haitoshi yeye na mkewe wanafurahia rais hajazuia mikutano ya injili maana angepoteza pesa nyingi sana.
Amepatia business ya kupiga hela bila kodi na ninadra kumwona anasaidia yatima/wajane lakini utamwona na maisha yake ya kifahari kupindukia akijiachia na familia binafsi bila kujali waumini wasiojua hata mlo wanaupataje!! Bora nikasalie shambani kwangu sio kwenye hema lake lilojaa madoa sugu
Fuga na wewe kama ni rahisi hivyo!Nabii gani huyo mfuga joka,hata maneno yake yatakuwa ya joka lake.
Endelea kulima na ushamba wakoHiyo nguo mikononi ikoje mbona ipo kikike hv ama ndio swagg....
manake wengine tupo vijijini huku
Acha wivu wa kike!Yeye kama yeye kura yake akapatatie, mengine atuachie sisi, na apunguze kujicream.
Tungelipa sadaka kwa simuLazima aongee hayo kama kurudisha fadhila kwa kutoamuliwa makanisa kufungwa Kama ilivyo mashule na vyuo maana ingewaweka kwenye wakati mgumu sana iwapo makanisa pia yangefungwa kwa ajili ya corona
Mashimo mpiga debe wa stand ya mbeziHivi kati ya huyu (nabii mkuu) na Komando Mashimo (nabii na mchungaji wa maaskofu na manabii wote TZ) nani ni mkubwa zaidi ya mwenzie?
Unasema!? Hebu paza sauti tulisikie vizuri hilo. Hizo sio habari za kukaa nazo kwenye makabrasha, watu wazifahamuHa ha ha ha ,,,LAZMA AMPIGIE KAMPENI KWASABABU JUZI KATI SI ALISHIKWA NA MKONO WA ALBINO?....ikabidi akubaliane na Masharti kama alivyo yakubali Gwajima.
Nafikiri mkubwa kwao ni Nabii Tito. Yule ambaye baada ya kutoka Issanga akawa kada na mwenezi wa CCM.Hivi kati ya huyu (nabii mkuu) na Komando Mashimo (nabii na mchungaji wa maaskofu na manabii wote TZ) nani ni mkubwa zaidi ya mwenzie?
Sawa nalima ili ww mkeo na watoto mle
Nasubiri CCM waseme asichanganye dini na siasa!Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Hapo hajachanganya kabisa dini na siasa kwa mujibu wa chama cha waliokabidhi akili.Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Mbona huyu ni mtanzania mkuu, huyu ni mtu wa Singida kama sijakosea.Lumumba bana, huyu kwa sababu kasifu na kaabudu, hata akiomba uraia kesho anapewa!!! utasikia kwanza huyu jamaa ni mpemba kakulia pale mwaneromango
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Kwahiyo hachukui sadaka, fungu la kumi na hela za maombezi binafsi na hayo mawe yake? Hayo makusanyo ndo tonge lenyewe na ndiyo chanzo cha hayo mawe yake. Aache kuyakusanya kwa mwaka 1 tuone.Unamfahamu vizuri? Ana mawe ya kutosha hana njaa.
Angekuwa hana njaa angekuwa anatapeli hao maskini wanaomwendea? Eti ana mawe ya kutosha! Ujinga mtupu!Unamfahamu vizuri? Ana mawe ya kutosha hana njaa.