Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja kiwanda cha Afro plus Usiku wa Kuamukia leo!!!

Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja kiwanda cha Afro plus Usiku wa Kuamukia leo!!!

Kiwanda cha waislam, kinamilikiwa na msikiti gani? Tatizo la kuikimbia elimu dunia.
Kunywa sumu basi kudhihirisha hasira yako, si utaenda ahera!
 
Ni muda wa kutumia utashi wa akili na hekima thabiti,mleta mada una chembe za ubaguz wa kidin,haya mambo tukiyaendekeza haitashia hapo,mwingine atasema kiwanja cha mchaga kimevamiwa na mhaya,inawezekana ulikua na nia nzuri lakn umei-addres kibaguz.
 
Anayejiita Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja Kiwanda Cha Waislam Mwenge baada ya Kukivamia na kuchoma moto katika tukio la kwanza lililofanyika siku ya jumatatu ya pasaka Mwaka huu.

Kamanda Kenyera alitoa agizo kuwa Kiwanda hicho kisivunje tena mpaka Shauli lililo mahakamani lisikilizwe .

Ni jambo ajabu Nabii Mwingira amedharau Mahakama na vyombo vya dola kwa kisingizio kuwa anasikiliza miungu yake!!

Can you support your claims. Remember false claims is punishable to jail upto a year and not less than six month. JF Mods, can you ask this person to give proof of his claims.
 
VIongozi wa Dini wanatakiwa kuwa mfano kwa uvumlivu na utii wa sheria maana maandiko yana sisitiza kutii mamlaka.
 
Kova amesema yeye sio ccm na hatagombea ubunge akistaafu
 
Hivi Messi ana goli ngapi mpaka sasa??
 
Wewe wasema kuwa amejiita,,for your information ameitwa na Mungu thats why biblia inatuambia utamjuaje nabii wa ukweli na uongo?jibu rahisi nabii wa ukweli ni yule anayetamka jambo likatokea na wa uongo ni yule anayetamka jambo lisitokee,
.tunaanza sasa,unamjua aliyekuwa akijiita sheikh yahaya huseni,wakati wa kampeni alisema kuna mgombea mmoja wa urais atakufa unakumbuka ilikuwa 2010?je kuna aliyekufa?
Watumishi wa MUNGU aliye hai nao kama ni mfatiliaji wa magazeti kuna mmoja akasimama akasema hakuna mgombea atakayekufa ila atakayekufa ni huyo anayejiita sheikh yahya,,,je huyo aliyejiita sheikh yahaya alimaliza hata mwaka?alikufa......
Mpaka hapo utaona nani zaidi MUNGU wa Mwingira ama miungu wa bahari(yahaya alkiyekuwa anafuga majini)




Anayejiita Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja Kiwanda Cha Waislam Mwenge baada ya Kukivamia na kuchoma moto katika tukio la kwanza lililofanyika siku ya jumatatu ya pasaka Mwaka huu.

Kamanda Kenyera alitoa agizo kuwa Kiwanda hicho kisivunje tena mpaka Shauli lililo mahakamani lisikilizwe .

Ni jambo ajabu Nabii Mwingira amedharau Mahakama na vyombo vya dola kwa kisingizio kuwa anasikiliza miungu yake!!
 
Mpigie kura Arabela awe miss chit chat 2012
 
Last edited by a moderator:
. Weka hiyo stop order ya mahakama hapa ili tuweze kuchangia mada.
Kama hamna basi wewe ni muongo mkubwa.
.

Inamaana kamanda Kenyela alidanganya umma aliposema swala lipo mahakamani,naomba nisaidie Mkuu
 
Inamaana kamanda Kenyela alidanganya umma aliposema swala lipo mahakamani,naomba nisaidie Mkuu

.
Suala kuwa mahakamani ni jambo moja, stop order ni kitu kingine. Kama huelewi masuala ya kisheria uombe msaada ufahamishwe.
.
 
Kuwa Muislam ni laana, no doubt.

Hivi mtu unaposema KIWANDA CHA WAISLAM, ina maana kinamilikiwa na jumuiya ya Waislam au msikiti?
 
kama mwingira ni nabii basi lucifer atakuwa ndio mkombozi!

rafiki angalia maneno uyaongeayo sidhani kama unamjua huyo aliyempa mwingira utume! Chamsingi mtu akijiita nabii,mtume nk mwache kama sio wa kweli bwana atapambana naye huko huko
 
Back
Top Bottom