- Thread starter
- #321
Nyumba ya Jirani ikiungua, hupasi kushangilia maana cheche tu zinatosha kubadili Hali ya hewa kwako.Sina muda wa kuombea chama, watajuana wenyewe
Mambo ya kuombea ni mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba ya Jirani ikiungua, hupasi kushangilia maana cheche tu zinatosha kubadili Hali ya hewa kwako.Sina muda wa kuombea chama, watajuana wenyewe
Mambo ya kuombea ni mengi
HahahaAsee Kuna watu majasiri, mtu mmoja anachukua fomu nyakati za lala salama,
Ni ndoto tu za mchana lakini.
Kwa hiyo tukiombee au tuache tu?Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama
Nani huyo!!?wote wamefyata wanaogopa kufukuzwa uanachama!!Asee Kuna watu majasiri, mtu mmoja anachukua fomu nyakati za lala salama,
Ni ndoto tu za mchana lakini.
🤣🤣🤣Nani huyo!!?wote wamefyata wanaogopa kufukuzwa uanachama!!