Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Ndio umenunukuu Quran na hadith hapo ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali, Unabii ni cheo gani katika Ukristo?
Hayo maelezo hata upande wa Sheikh kila Muislam anaweza kuwa sheikh, hapa nataka kujua katika Kanisa (Ukristo) Nabii ni cheo gani? Then nitajie manabii katika taasisi za dini ambao ni viongozi, elewa neno taasisi (mfano wa taaisisi ni kama Roman Catholic, KKKT, Anglican n.k)
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Najaribu kufikiri kwa nguvu zote lakini nashindwa kuelewa ni akina nani wenye ubavu wa kumuengua Mwenyekiti kutoka kwenye kinyang’anyiro 😳Mgawanyiko utasaidia kupata mgombea mpya mzuri asieyumbishwa na magenge ya Msoga Wala sukuma gang wala visiwani!!
Hata 2015 mgawanyiko ulituletea jpm ngoja tuone 2025 utatuletea nani
Sheikh kwa lugha ya kiarabu ni mtu mwenye umri mkubwa lakini pia itakuwa na maana nyingine tena inayofanana na hiyo !Sheikh ni cheo gani katika uislamu? Hata Karume sr akiitwa Sheikh alikuwa na elimu gani ya dini??
Sheikh kwa lugha ya kiarabu ni mtu mwenye umri mkubwa lakini pia itakuwa na maana nyingine tena inayofanana na hiyo !
Mtu anayeheshimiwa etc. !
Sio mtu Bali mfumo!Najaribu kufikiri kwa nguvu zote lakini nashindwa kuelewa ni akina nani wenye ubavu wa kumuengua Mwenyekiti kutoka kwenye kinyang’anyiro 😳
Sioni mtu mwenye ubavu huo !
Urais au Uenyekiti ni taasisi kubwa sio mtu mmoja !Sio mtu Bali mfumo!
Samiah ni mtu tu,na uenyekiti ni cheo TU na uamiri jeshi mkuu TU lakini samiah sio mfumo unaojitegemea na mifumo IPO inayoonekana na isiyoonekana!!
Samiah Hana uwezo was kuchakata kila taarifa iliyopo mezani pale !anategemea watu hawezi kujilinda mwenyewe anategemea watu !!
Ni mjinga pekee anaeamini samiah ndio kila kitu !samiah ni tone kubwa katika matone meeengi yanayomzunguka!hawezi kuona Kila kitu kilicho sirini hata Sasa Kuna baadhi ya mambo yanaendelea hayajui Hadi aambiwe!!
Marehem jpm amenifunza jambo Moja kuu kwamba Rais sio kila kitu kwenye mfumo coz Kuna mambo hata afanyaje hatajua!!
Usimpe hatimiliki ya nchi mtu mmoja Bali mfumo atajipitisha kuwa mgombea lakini kama mfumo haupo upande wake atakua mgombea hewa!!
ELEWA NILICHO ANDIKA!WAKATI JPM ANAPORA UCHAGUZI HAKUJUA KAMA ATAHITAJI WABUNGE WA UPINZANI AKASAIDIWA KWA MLANGO WA NYUMA!!
RAIS SIO KILA KITU BALI NI SEHEM YA MFUMO ULIOPO LAKINI ANATEGEMEA MFUMO HUO HUO UMSAIDIE KAMA MFUMO HAUNA MSAADA KWAKE Atakua passive
Aliyeanzisha uzi kanukuu Biblia!? Kwanza siyo kazi yangu kunukuu kitu nisichokiamini.Ndio umenunukuu Quran na hadith hapo ??
Naona umeota umekuwa na nukuu nyengine hapo juu au hiyo alikupa mchungaji wako?Aliyeanzisha uzi kanukuu Biblia!? Kwanza siyo kazi yangu kunukuu kitu nisichokiamini.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Halafu ajitabirie siku ya kufa kwake😎😎Mwambieni aache bangi
Kila Karibu na uchaguzi hizi tunduja huleta these obvious predictionsSalaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.🙏
Source: POG family Tv.
Ule mwaka ndio huu sasa.
Kila kilakitakachotokea kina kibali Cha MUNGU.What if Mungu anapenda chama hiki kuendelea kutuongoza?
Sina muda wa kuombea chama, watajuana wenyeweSalaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.🙏
Source: POG family Tv.