Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Subiria kuambiwa ni nabii wa CHADEMAWatamjibu Mungu au Nabii?
Utii ni muhimu kuliko ubishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiria kuambiwa ni nabii wa CHADEMAWatamjibu Mungu au Nabii?
Utii ni muhimu kuliko ubishi.
CCM na Dola ni sawa na nguo iliyoshonwa pamoja na ngozi Kwa kudariziwa!!Uwaombee ili iweje, washauri watu watubu dhambi zao waache kufanya dhuluma
Ana maana yake anapokuuliza mungu yupiMungu not mungu.
HahahaaaSubiria kuambiwa ni nabii wa CHADEMA
Ameenhuu ni unabii mzuri sana. Ee Mola naomba unabii huu utimie.
Hahahaa....,dah tumefika huku?Hiyo Misukule ilipuane tu.
Ujumbe huu unawapa favor CCM ikiwa watasikia na kuongoza maombi na kutubu.Subiria kuambiwa ni nabii wa CHADEMA
Hahahaa
Ni sawa na mimi sasa hivi kusema, kesho itakuwa jumanne, tuiombee sana nchi yetu.
Hapo hakuna unabii, mwambieni huyo mtu afanye kazi za uzalishaji mali aache ujanja ujanja na kutafuta umaarufu.
Kiukweli kimfumo,Ana maana yake anapokuuliza mungu yupi
Nabii hajasema kuwa CCM ni ya milele,Wajinga ndiyo waliwao.
Anaeamini kuwa CCM itaishi milele huyo ni poyoyo tu.
Hata mimi nashangaa aisee..!Huyo nabii hajielewi.....nani akae aiombee ccm?
Hujui kuwa tumeagizwa tuwaombee maadui na wanaotuudhi?Hata mimi nashangaa aisee..!
Thibitisha hili.For your information huyo prophet ndio baba wa kiroho wa Mwigulu Familia nzima ya mwigulu wanasali hapo..incase huyo prophet hayupo kusafiri etc mke wa mwigulu ndio anahubiri....maybe kapewa za chini chini ndani ya ccm kutokana na trend....
Nenda kwenye page za huyo prophet utaona
Lete wewe ushahidi.Nenda kwenye page za huyo prophet utaona
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.