Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Chadema haina wabunge wenye majina hayo bungeniNabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Kwa hiyo Samia anahujumiwa, na usalama hawajui, washauri wake wa karibu hawajui, ila nyie mbugula mbugila wa huku mtaani ndio mnajua?Wewe nawe kichwa chako ni boya kweli...!
Wewe unadhani viongozi ktk mataifa mengine waliowahi kupinduliwa na kuondolewa madarakani huwa hawana washauri...?
Jaribio la kutaka kumpindua Nyerere lililoshindwa mapema miaka ya 1970s unadhani Nyerere hakuwa na washauri...?
Unadhani wewe au washauri hawautaki Urais wake...??
Hujuma ni pana sana, unatekelezaje majukumu yako kama kiongozi na huo utekelezaji wako unaathiri vipi nafasi ya rais. Anzia hapo. Hata maoni yako mbele ya jamii kama kiongozi, wa dini, taasisi serikali nk. Chukua mfano suala la corona.Huu upumbavu ufike mwisho sasa!
Wanamhujumuje hao watu?
Yani yeye Samia si ana timu yake ya washauri? Wao hawaoni hizo hujuma?
Swali langu kuu, anahujumiwaje?
Mkuu ukweli tuukubali tu kuwa huyu mama nae uwezo wake ni mdogo sanaWewe nawe kichwa chako ni boya kweli...!
Wewe unadhani viongozi ktk mataifa mengine waliowahi kupinduliwa na kuondolewa madarakani huwa hawana washauri...?
Jaribio la kutaka kumpindua Nyerere lililoshindwa mapema miaka ya 1970s unadhani Nyerere hakuwa na washauri...?
Unadhani wewe au washauri hawautaki Urais wake...??
Kwani Nandy yeye anasemaje?Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
hata yeye atakufa vilevile, kwani ataishi milele? haya makanisa haya!Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Si ndo keshawaambia hivyo?Ifike wakati hawa manabii walevi wa sehemu za siri wafukuzwe hapa Afrika.
Wanawaharibu watu, hawa manabii huchangia umaskini katika jamii.
Si aende akawaambie, sisi inatuhusu nini?
Yeye kaleta ujumbe wa Mungu!hata yeye atakufa vilevile, kwani ataishi milele? haya makanisa haya!
Mwigilu, Majaliwa na MpangoNi zaidi ya watatu, Nabii yuko sahihi.
Na SirroMwigilu, Majaliwa na Mpango
unajuaje kama ni ujumbe wa mungu, mimi ni mkristo vilevile, hivi unawajua hawa manabii wa siku hizi wewe, hawa wauza maji ya upako, miujiza ya uongo na mazingaombwe, hawamhubiri Kristo na hawastahili kuitwa wakristo, na kwa nguvu walizonazo walizozipata huko wanakokujua wamekuwa wakiwaintimidate watu wasiwaquestion, ifike mahali serikali ichukue hatua kwa baadhi ya watu kama awa, kwasababu kwanza wanapoke pesa kwa masikini na kujitajirisha na kuishi maisha ambayo hata Yesu angekuwepo hapa leo asingeishi maisha hayo. ni wezi tu na Mungu hawatambui. huyo unayemtaja kuna siku hapa clip ilirushwa anahubiri uzinzi tu.Yeye kaleta ujumbe wa Mungu!
Sirro anapewa tu hela na maagizo na kina Majaliwa , Mwigilu na Mpango, atufanjie UJAMBAZI watanzania. Bure kabisaNa Sirro
Mbona alianza vizuri? Ni akina nani walimpunguza spidi? Ni akina nani wanaomzungusha huko na huko huku nchi ipo katika hali tete?Huyu mama hana uwezo, hili kusema anahujumiwa naona ni uongo tu
Huyu naye keshakuwa malaya wa makanisa. Amehama kwa Mwamposa??na msanii Nandy
lowasa alihubiriwa hadi na yule tapeli wa malawi kuwa atakufa, lakini hadi leo anadunda. puuzeni hao manabii wa uongo. hata Mungu hawatambui.Hahahaaaa.... Nimependa ulivyofikisha ujumbe kwa fasihi laini!
Mkuu ulitegemea awe anasali chini ya miti?Halima anasali kanisani ?