Nabii Suguye: Kuna viongozi watatu Wanamhujumu Rais Samia na kama viongozi hao wasipotubu Watakufa!

Nabii Suguye: Kuna viongozi watatu Wanamhujumu Rais Samia na kama viongozi hao wasipotubu Watakufa!

Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.

Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.

Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.

Source: WRM tv
Kuna uhusiano wa mawasiliano ya MUNGU nabii na akina Mdee? Kwa nini utaje baadhi ya waumini?
 
Leo December 26 Kuna Jambo Nabii Suguye Kalitabiri,Kwangu Nimebaki Kutetemeka,Kaigusa Serikali,Katabiri Viongozi Wa Serikali na Kidini Kwenda Safari ya Mbali,Kama Hawatatubu na Kumrudia Shauri Zao,Pia Kamtaja Sangoma Tegemewa Kuwa Siku Zake Zinahesabika Lazma Aende Safari ya Mbali,Kasema Tuzidishe Maombi Wabaya wa Mh Rais Wamemtega Mara Kadhaa Wakamkosa,Na Sasa Wamemroga,Pia Kasema Tumuombee Spika,Mmemsikia Leo?

Tuliombee Taifa Letu Sana,Manabii Hawa Sio Wa Kupuuza Hata Kidogo.

Tuwaombee Viongozi Wetu.
Yametimia Aisee.....
 
Suguye ni Nabii wa Uongo,vwakala wa kuzimu, Mbwamwitu aliyejivika ngozi ya kondoo.

Ni Bora kuabudu nyumbani kwako kuliko kupoteza muda Kwa mtu atakaekupeleka KUZIMU.

Mwenye sikio na asikie.

Ameeeen.
 
Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.

Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.

Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.

Source: WRM tv
nandy anasali kwa mwamposa.
 
Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.

Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.

Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.

Source: WRM tv
Wachungaji matapeli. Eti ametokewa na Mungu. Hivi huu ujinga utaisha lini Africa.....!!?
 
Back
Top Bottom