Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Nchi iko Autopilot kwasababu ipi unayoona labda kuna kitu kinajiendea tu.Aseee mkuu basi mimi nina mawazo tofauti na ya kwako...Naona nchi iko autopilot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi iko Autopilot kwasababu ipi unayoona labda kuna kitu kinajiendea tu.Aseee mkuu basi mimi nina mawazo tofauti na ya kwako...Naona nchi iko autopilot
Hukumsikiliza Mbatia ??? + Na yanayo endelea chini ya PolisiHuu upumbavu ufike mwisho sasa!
Wanamhujumuje hao watu?
Yani yeye Samia si ana timu yake ya washauri? Wao hawaoni hizo hujuma?
Swali langu kuu, anahujumiwaje?
Mganga njaa mwingine katika ubora wake!Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Hana uwezo wa kuwa Rais.Huyu mama hana uwezo, hili kusema anahujumiwa naona ni uongo tu
Hakuna ukweli wowote hapo. Wewe unasumbuliwa chuki binafsi kwa Samia na unazi wa jiwe na mfumo dume. Hakuna raisi aliyekuwa kituko kama jiwe. Kama jiwe aliweza,mama anashindwaje?Mkuu ukweli tuukubali tu kuwa huyu mama nae uwezo wake ni mdogo sana
Naww umeamini anahujumiwa sio kwamba cheo ni kikubwa kuliko uwezo wakeNabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Vijiwe wenyewe wanaita makanisaMchungaji nae anaona Gwajima anafaidi sana trending. Hivyo nae anatafuta kiki.
Umechelewa Sana mm nshaanza mwaka jana wabunge kadhaa wanakuja hapaAisee muda si mrefu na mie nitakuwa nabii
Acha uhuni wewe mbwa!Hakuna ukweli wowote hapo. Wewe unasumbuliwa chuki binafsi kwa Samia na unazi wa jiwe na mfumo dume. Hakuna raisi aliyekuwa kituko kama jiwe. Kama jiwe aliweza,mama anashindwaje?
Ni rafiki wa binti wa Suguye labda ndiye amemshawishi akasali huko.Huyu naye keshakuwa malaya wa makanisa. Amehama kwa Mwamposa??
Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Acha uongo wewe Muosha vibibi vya kizungu!Mkuu wa hilo kundi ni Mwigulu Nchemba wapo Majaliwa yule mrundi VP, Ndugai, zero, Ndugulile na Tulia. Wiki ya nne sasa hakuna Waziri wa Ulinzi kwa sababu kundi hilo linadai nafasi hiyo ni nyeti hivyo ni lazima awe mtu wanayemkubali wao.,
Wanasiasa ni kizazi cha nyoka. Watafanya kila kitu iwe ni ushirikina ulaghai uongo hata kuanzisha kanisa au kula dili na manabii feki.Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv