JORAM LUKAS
Senior Member
- Feb 5, 2012
- 141
- 69
Kuna uhusiano wa mawasiliano ya MUNGU nabii na akina Mdee? Kwa nini utaje baadhi ya waumini?Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Yametimia Aisee.....Leo December 26 Kuna Jambo Nabii Suguye Kalitabiri,Kwangu Nimebaki Kutetemeka,Kaigusa Serikali,Katabiri Viongozi Wa Serikali na Kidini Kwenda Safari ya Mbali,Kama Hawatatubu na Kumrudia Shauri Zao,Pia Kamtaja Sangoma Tegemewa Kuwa Siku Zake Zinahesabika Lazma Aende Safari ya Mbali,Kasema Tuzidishe Maombi Wabaya wa Mh Rais Wamemtega Mara Kadhaa Wakamkosa,Na Sasa Wamemroga,Pia Kasema Tumuombee Spika,Mmemsikia Leo?
Tuliombee Taifa Letu Sana,Manabii Hawa Sio Wa Kupuuza Hata Kidogo.
Tuwaombee Viongozi Wetu.
Uliquote,Karibu Tena 😁😁Ngoja tuquote kwa ajili ya kuja kuunga dots baadaye...
Spika naye ni wa kuombewa kweli? Mzee wa Galilaya yule yupo vizuri 😁
Sadaka Tunaweka WapiAisee muda si mrefu na mie nitakuwa nabii
Uliquote,Karibu Tena 😁😁
KabisaKwa hiyo spika kapigwa na kitu kizito kama nabii alivyoona sio!!!
Wanafunzi wanatakiwa wachukue ya ubaoni waache uvivu. Uki-concentrate na ubaoni uwezi kuona mlegezo!
Umesema kweli tupu Aisee!Aseee mkuu basi mimi nina mawazo tofauti na ya kwako...Naona nchi iko autopilot
Bila kutaja CHADEMA roho yako haituliiwabunge wa Chadema
nandy anasali kwa mwamposa.Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Wachungaji matapeli. Eti ametokewa na Mungu. Hivi huu ujinga utaisha lini Africa.....!!?Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Mna hakika huyu jamaa sio bange kweli?Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.