Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaHuu unabii hata mtoto anaweza kuutoa
Asilinganishe yanga na huo uchafu wao
Tangu hilo kanisa lifungwe na serikali kisha likafunguliwa limekuwa la kupenyeza agenda na propaganda za chama.Ni Maneno ya Nabii Nicolaus Suguye akiwa kanisani Kwake akiendesha Huduma ya Ibada.
Nabii huyo ambaye anaendesha Kanisa la WRM- Word of Reconciliation Ministries lililoko Kivule Matembele ya Pili jijini Dar.
Anadai kuwa aliona Chama cha Upinzani kikiwa na mikakati mizito ya ushindi na kitakuwa tishio dhidi ya Chama tawala. Anasema kwa sasa kiko kimya kikisuka mipango hiyo hata hivyo anasema aliona Mwanamke mmoja akishinda uchaguzi huo.
Hata hivyo itakumbukwa hapo Mwaka 2022 Kanisa hilo linaosimamia huduma za kiroho liliwahi kufungiwa shughuli zake Chini ya Ulinza mkali wa Jeshi la Polisi likiongozwa na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi Dar Kamanda Murilo akilituhumu kuendesha shughuli zake bila kuwa na Usajiri Kamili.
Video kwenye Youtube Channel yake.
HahahaMaono feki yasiyo na chembe ya lolote la ajabu, huyo mwanamke wa nguo za Yanga ni Samia na chama cha upinzani giant ni Chadema.
Huwezi kujua majira na nyakati zinabadilika.Sasa Kuna mtanzania ambae hajuwi mwaka 2025 mwanamke ndie ataushinda urais?
Hahaaa.....wanaangalia tu mkono kinywaniMakanisa yasiyokemea uovu ndani ya nchi ndugu yangu - changanya na za kwako.
Watu wanapotea manabii kimyaa!!
Nasikia mkeo aliliwa kimasihara hapoNabii fake kutoka kitunda tapeli huyo na mwizi wa Imani huyo
Mke wangu ni mroma hii sio Imani yakeNasikia mkeo aliliwa kimasihara hapo
Pole
Ndio mada gani tena hiziNasikia mkeo aliliwa kimasihara hapo
Pole
How?Tapeli
HahahaSuguye ni mpenzi na shabiki wa Yanga na Ccm..hili liko wazi ,hapa kaonesha mahaba ya wazi wazi
DuuhNabii yuko sahihi. Mimi pia nimeoteshwa mgombea urais aliyevaa nguo zenye rangi kama ya timu ya Brazil kashinda.
matapeli wa injili hawa wa kuwachunga sana. hivi hata mimi ningeamua kutabiri kwamba samia atashinda, nitakosea, kuna mtu hajui kuwa samia atashinda mwakani, kama nape alivyosema kwamba wataiba kura. ushindi upo palepale.Ni Maneno ya Nabii Nicolaus Suguye akiwa kanisani Kwake akiendesha Huduma ya Ibada.
Nabii huyo ambaye anaendesha Kanisa la WRM- Word of Reconciliation Ministries lililoko Kivule Matembele ya Pili jijini Dar.
Anadai kuwa aliona Chama cha Upinzani kikiwa na mikakati mizito ya ushindi na kitakuwa tishio dhidi ya Chama tawala. Anasema kwa sasa kiko kimya kikisuka mipango hiyo hata hivyo anasema aliona Mwanamke mmoja akishinda uchaguzi huo.
Hata hivyo itakumbukwa hapo Mwaka 2022 Kanisa hilo linaosimamia huduma za kiroho liliwahi kufungiwa shughuli zake Chini ya Ulinza mkali wa Jeshi la Polisi likiongozwa na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi Dar Kamanda Murilo akilituhumu kuendesha shughuli zake bila kuwa na Usajiri Kamili.
Video kwenye Youtube Channel yake.
Ushindi wa Nape Style.....The Hand's Goal.....ndio ushindi wa Kinabii Huumatapeli wa injili hawa wa kuwachunga sana. hivi hata mimi ningeamua kutabiri kwamba samia atashinda, nitakosea, kuna mtu hajui kuwa samia atashinda mwakani, kama nape alivyosema kwamba wataiba kura. ushindi upo palepale.