Nabii Suguye: Naona Chama cha Upinzani kikiibuka kama Giant, kisha nikaona Mwanamke aliyevaa nguo kama za Yanga akashinda Urais 2025

Nabii Suguye: Naona Chama cha Upinzani kikiibuka kama Giant, kisha nikaona Mwanamke aliyevaa nguo kama za Yanga akashinda Urais 2025

Ni Maneno ya Nabii Nicolaus Suguye akiwa kanisani Kwake akiendesha Huduma ya Ibada.

Nabii huyo ambaye anaendesha Kanisa la WRM- Word of Reconciliation Ministries lililoko Kivule Matembele ya Pili jijini Dar.

Anadai kuwa aliona Chama cha Upinzani kikiwa na mikakati mizito ya ushindi na kitakuwa tishio dhidi ya Chama tawala. Anasema kwa sasa kiko kimya kikisuka mipango hiyo hata hivyo anasema aliona Mwanamke mmoja akishinda uchaguzi huo.

Hata hivyo itakumbukwa hapo Mwaka 2022 Kanisa hilo linaosimamia huduma za kiroho liliwahi kufungiwa shughuli zake Chini ya Ulinza mkali wa Jeshi la Polisi likiongozwa na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi Dar Kamanda Murilo akilituhumu kuendesha shughuli zake bila kuwa na Usajiri Kamili.

Video kwenye Youtube Channel yake.
Tangu hilo kanisa lifungwe na serikali kisha likafunguliwa limekuwa la kupenyeza agenda na propaganda za chama.
 
Baaasi....baaassi, mchezo umekwisha, mama 2025/2030
 
Ni Maneno ya Nabii Nicolaus Suguye akiwa kanisani Kwake akiendesha Huduma ya Ibada.

Nabii huyo ambaye anaendesha Kanisa la WRM- Word of Reconciliation Ministries lililoko Kivule Matembele ya Pili jijini Dar.

Anadai kuwa aliona Chama cha Upinzani kikiwa na mikakati mizito ya ushindi na kitakuwa tishio dhidi ya Chama tawala. Anasema kwa sasa kiko kimya kikisuka mipango hiyo hata hivyo anasema aliona Mwanamke mmoja akishinda uchaguzi huo.

Hata hivyo itakumbukwa hapo Mwaka 2022 Kanisa hilo linaosimamia huduma za kiroho liliwahi kufungiwa shughuli zake Chini ya Ulinza mkali wa Jeshi la Polisi likiongozwa na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi Dar Kamanda Murilo akilituhumu kuendesha shughuli zake bila kuwa na Usajiri Kamili.

Video kwenye Youtube Channel yake.
matapeli wa injili hawa wa kuwachunga sana. hivi hata mimi ningeamua kutabiri kwamba samia atashinda, nitakosea, kuna mtu hajui kuwa samia atashinda mwakani, kama nape alivyosema kwamba wataiba kura. ushindi upo palepale.
 
matapeli wa injili hawa wa kuwachunga sana. hivi hata mimi ningeamua kutabiri kwamba samia atashinda, nitakosea, kuna mtu hajui kuwa samia atashinda mwakani, kama nape alivyosema kwamba wataiba kura. ushindi upo palepale.
Ushindi wa Nape Style.....The Hand's Goal.....ndio ushindi wa Kinabii Huu
😅😅😅
 
Back
Top Bottom