Nabii Suguye: Viongozi wa Serikali watubu kabla mwaka haujaisha kwa 'blunder' zilizofanywa kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Nabii Suguye: Viongozi wa Serikali watubu kabla mwaka haujaisha kwa 'blunder' zilizofanywa kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

walipuputika kwanzia ile january tuli wazika mpaka february Yuke Jembe mkumbwa Yaan JPM ndio akafunga dimba..
Tarehe 17 March ndiyo tarehe yenye kumbukumbu nzuri sana maishani mwangu. Ilikuwa raha sana kusikia jiwe kapukutika.
 
kabisa..mwezi una isha sasahakuna ibada kanisa limefungwa..
Nj ya kweli haya usemayo? Nimeona kwenye TV channel yake katoweka nikajua hajailipia tu. Kumbe kala ban la maisha?


Anyway. Hukohuko aliko abarikiwe Sana kwa kututabiria jiwe kupukutika
 
Back
Top Bottom