Nabii Tito kagusa kusikogusika, soon watamshughulia.

Nabii Tito kagusa kusikogusika, soon watamshughulia.

Dah huyu jamaa alianza Kama masihara..ila Sasa hivi ameamua kujipiga make up kabisaa Kama mwanamke..aisee..hatariiiiii...
 
Mjinga huyu anabahati yupo mbali😠😠😠😠😠😠😠😠😠
 

Attachments

  • FB_IMG_17227474240798854.jpg
    FB_IMG_17227474240798854.jpg
    142.4 KB · Views: 2
Kwa vile huyu wa kwenu wagalatia, na hamumkubali, kwa hiyo hana uzito hata kwetu
Lakini mwambieni Mwamposa aongee hivi, tumtangazie FATWA ya kichwa chake
 
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826
Huyu CHOKO kwelikweli??
 
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826
Unamaanisha nini kuyakanyaga!?
 
Mh jamani hivi watu wanarogwa kusali kwa hawa jamaa wanaojiita manabii na mitume sasa mtu kajipodoa hivyo kilichobaki ni kupelekewa moto
 
Back
Top Bottom