Nabil Qaouk kiongozi mkuu idara ya usalama Hezbollah auawa akiwa kwenye handaki usiku huu kwa shambulizi la ndege za IDF Beirut

Serikali ya Tanzania ingekuwa ina nia watu wasijulikana ingekuwa wote wamepatikana na kufikishwa mahakamani, lakini hadi leo pamoja ya kudukua simu za raia, bado serikali ya chama dola kongwe vyombo vyake vya usalama hawajafanikiwa kumpata hata asiyejulikana mmoja.
 
Hivii zilee Kurjuan na Alubadiliii hazinaga masadaa kwa Muyahood🤣🤣maana huku mnazi1 wanatutishiaa Sanaa ATI ukinigusa hata unywele wagu kwa ubaya nakumaliza na Kurjuan.Inakuajeeeee🇮🇱🇮🇱 anawapidiy akina muudi.
 
Huenda kuna namna IDF waliweza kupandikiza track chip kwenye miili ya hao viongozi wa Hezbollah kiasi cha kugundua wapi walipo na kuwaangamiza kirahisi.
 
Wewe kenge kweli, kama hujui mambo bora ukae kimya
Mimi wanao abudu binadamu huwa nawaona wajinga zaidi ya kenge, sababu hata kenge anamjua Mungu ni nani.

We unacho jua nini kuliko mimi, hunishindi lolote sio elimu sio pesa sa we peleka ukenge wako kwa Nyau.
 
Tuwalete waje kutusaidia kuwatafuta wasiojulikana
 
Hezbollah na Hamas wanapitia kipindi kigumu sana toka kuanzishwa kwao.
 
Hezbollah acheni kutumia smartphone tumieni vitochi huyo jamaa atawamaliza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…