Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Kweli mkuu naona kila dalili
Nakumbuka sana ila nikikaa kimya anakasirika sjw ana lengo gani
Ungekuwa wewe ungefanya niniSo unataka msaada wa nini kutoka kwetu?condom?getto?au nini hasa shida yako?
Siwezi kuwa mimi ata kwa mfano tu,hiyo sahau...!Ungekuwa wewe ungefanya nini
great thinker
Nipo kwenye hot zone,kwa kweli Shem atanisamehe tuSiwezi kuwa mimi ata kwa mfano tu,hiyo sahau...!
Huyu anataka funguo geto atatafuta mwenyeweSo unataka msaada wa nini kutoka kwetu?condom?getto?au nini hasa shida yako?