Nachat na shemeji yangu muda huu

Nachat na shemeji yangu muda huu

Ebu ukifanikiwa ...uniambie Mimi alikuwa ananitegatega nikamtongoza akakubali ....baadae nikamwambia Tulia huko .... Niko busy [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari za usiku wadau.Hivi sasa ni saa 5:00usiku kwa saa za Afrika Mashariki.Shemeji kaanza kunitumia msg nikamjibu naona anaendelea tu anadai anataka kuchat na mimi.Cha kushangaza msg zake korofi kweli yaani usingizi wote kaundowa kabisa.Mnara unasoma G4.Msaada wenu tafadhari

great thinker
shemej ako kivip mkuu?
 
Habari za usiku wadau.Hivi sasa ni saa 5:00usiku kwa saa za Afrika Mashariki.Shemeji kaanza kunitumia msg nikamjibu naona anaendelea tu anadai anataka kuchat na mimi.Cha kushangaza msg zake korofi kweli yaani usingizi wote kaundowa kabisa.Mnara unasoma G4.Msaada wenu tafadhari

great thinker

Mnara ukisoma G10 niite.kwa nn unapenda kula bila kunawa!!!?
 
Ebu ukifanikiwa ...uniambie Mimi alikuwa ananitegatega nikamtongoza akakubali ....baadae nikamwambia Tulia huko .... Niko busy [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu shemela inaonyesha cheche kwa hizi msg zake za kutega mamaeeeeh

great thinker
 
Dada wa manzi yangu

great thinker
poa kua makin bro usije haribu mambo mi nlishawah chapa rafiki wa demu yangu dah dem wang alipojua waligombana sana na mpk leo ni maadui...huwa naumia sana watu nliowakuta marafiki wakubwa nmewatenganisha kwajili ya ujinga wangu dah..sitorudia tena so kuwa makin maana majuto mjukuu
 
Back
Top Bottom