Nachelewa kufika kileleni ninapokuwa na mmoja kati ya wake zangu

Kwanza ndoa ya watu wengi kwa nyakati hizi za utandawazi si ndoa bali ni maigizo tu.Wanawake wanaweza kukubaliana vizuri kuwa utakapokuwa kwa mmojawapo yule atakaekuwa si zamu yake nae anaenda kwenye mchepuko wake.Kama wewe mwanaume unajiona una nyege nyingi na wao wanawake nao wapo wenye nyege nyingi ambao hawawezi wakusubiri wewe tu kama Mungu.
 
sasa unataka ulazimishe tatizo wao wameshindwa himili labda kwa kuwa hauko romantic na huwaandai ila kazi unawapa safi na hongera hapo uko safi kabisa piga show
 
[emoji15] [emoji15] mkuu umewezaje kujua moto wa mzee wako?
Nilipo mshirikisha juu ya jambo langu aliniambia hata mama yako anadai nikileta mke mwingine pamoja na umri wangu nitammudu mana pigo zangu nizadunia nyingine , duuuuh nikajua shuhuli yake sio ya photocopy ni original
 
Kwa hizo nguvu ulizo nazo inabidi uongeze wake wengine wanne sheikh. T

umbafu kabisa, hizo nguvu si uende ukafanye kazi unabaki kuwaza nguvu za kufanya ngono pekee.


 
Mimi sijui sijakuelewa au hiyo style yako ya kuandika ndo inanichanganya!



Walioelewa naomba mnieleweshe maana nimeshindwa hata kumalizia kusoma
Anataka ukawasaidie wake zake wanashindwa kuvuka dakika 45 wakati yeye anataka mpaka asubuhi
 
We nae miaka 29 wake wawili wa kazi gani na wewe mtoto mdogo ukifika mika 60 utakuwa nao 7
 
nilikuwa naufuatilia huu uzi kwa karibu niujue uwongo wako,umenasia hapa,wewe unejuaje mzee wako kama ana moto huo wa cc1000?
Nishajibu ilo swali mana niswali jepesi sana kama nyusi ya kichanga cha mwezi mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…