Nachelewa kufika mwisho hata niendeshe vipi

Nachelewa kufika mwisho hata niendeshe vipi

Tumia oil za uhakika katika gari lako mzee. Vyuma vitaachia fastaaaa
 
Magari ya kuomba nayo sio mazuri.

Unaweza ukakuta umezoea gari lako linatingisha au linarukaruka kama limekata shokomzoba kisha unaomba gari imetuliaaaa hata ukiingia kwenye shimo halishtuki na ukitest moto haliwaki haraka ukipiga resi limetulia. Tatizo hilo.
Sijaomba ninalijua toka kitambo halina dereva. Ndio nikawa naliendesha yaani hakuna raha kbs ila kwa nje lipo bomba.
 
Nitumie plate number ya gari pm ili niisake kwa ajili ya ukaguzi. Ili nijue tatizo ni gari au dereva ndio hana leseni!
Nakutumia plate number nadhani hili gari ndio lilinipa upupu maana niliumwa kuwashwa nikaleta ombi la msaada wa kitabibu.
 
Nyie ndo mnatuharibia barabara mnatembeza magari hammalizi safari mnaacha barabara imejaa mipasuko tukija na magari yetu classic tunaishia kuvunja shaft za magari. Angalia aina ya oil unayotumia nyingine ndo hizo gari linaishia kutoa moshi tu, kama si hivyo badili gari haraka chukua chuma ambacho unapata mzuka kukiendesha, gari liwe safi, suspension ziwe kamili na system ya umeme iwe poa. Kuepusha ajali usiendeshe gari ukiwa na stress au uchovu mwingi. Kama hautojali niazime hilo gari nipigie safari fupi nikuletee mrejesho kama shida ni gari [emoji23]
Nakupa lote maana mimi nilikuta limepark halina dereva.
 
Kama gari haikufikishi ni heri utembee kwa mguu tu.
Ukweli nilishuka bila kufika safari na mvua hizi nimejibanza tu hapa kama vipi naomba gari lako linifikishe niendapo. Mimi ni dereva muaminifu sipendi kuovertake.
 
Hii hali ipo kwa kila dereva? Nina tatizo la kutofika kabisa mwisho wa safari hata nikibadilisha rubber maana mimi ni mpenzi wa kutumia raba naogopa mpigiri.

Juzi moja nilipata gari moja hivi nikaendesha kwa muda wa saa 3 lakini nikashindwa kufika kbs safari ya Kibaha tu. Nikabadilisha raba wapi nikalala njiani.

Nikaamkia asubuhi holaa gari linaunguruma hasa mpaka linachoka lakini mimi dereva nashindwa kufika, na sio kama gari mbovu linasimama hasa ila hali hii ikeshanitokea mara nyingi uwa napata hasara tu gari linaondoka bila kufika safari lenyewe linamwaga oil sana.

Je, jamani mimi dereva goigoi ama natakiwa kuendesha guta na TOYI?
Unatumia mafuta ya videbe wakati gari yako ina tatizo la pump,nenda shell mkuu. Au inawezekana huna uhalali na hilo gari wewe ni day waka,Nenda show room ukanunue gari mpya yenye EFD receipt.
 
Ukweli nilishuka bila kufika safari na mvua hizi nimejibanza tu hapa kama vipi naomba gari lako linifikishe niendapo. Mimi ni dereva muaminifu sipendi kuovertake.
Mimi naendesha Bulldozer halina steering wheel ni levers tu. Utaweza ku operate?
 
Back
Top Bottom