Nachelewa kufika mwisho hata niendeshe vipi

Tumia oil za uhakika katika gari lako mzee. Vyuma vitaachia fastaaaa
 
Sijaomba ninalijua toka kitambo halina dereva. Ndio nikawa naliendesha yaani hakuna raha kbs ila kwa nje lipo bomba.
 
Nitumie plate number ya gari pm ili niisake kwa ajili ya ukaguzi. Ili nijue tatizo ni gari au dereva ndio hana leseni!
Nakutumia plate number nadhani hili gari ndio lilinipa upupu maana niliumwa kuwashwa nikaleta ombi la msaada wa kitabibu.
 
Nakupa lote maana mimi nilikuta limepark halina dereva.
 
Kama gari haikufikishi ni heri utembee kwa mguu tu.
Ukweli nilishuka bila kufika safari na mvua hizi nimejibanza tu hapa kama vipi naomba gari lako linifikishe niendapo. Mimi ni dereva muaminifu sipendi kuovertake.
 
Unatumia mafuta ya videbe wakati gari yako ina tatizo la pump,nenda shell mkuu. Au inawezekana huna uhalali na hilo gari wewe ni day waka,Nenda show room ukanunue gari mpya yenye EFD receipt.
 
Ukweli nilishuka bila kufika safari na mvua hizi nimejibanza tu hapa kama vipi naomba gari lako linifikishe niendapo. Mimi ni dereva muaminifu sipendi kuovertake.
Mimi naendesha Bulldozer halina steering wheel ni levers tu. Utaweza ku operate?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…