Nachingwea, Lindi: Mwanamke wa miaka 28 ajiua baada kuchepuka

Watanzania wengi ni watoto wa nje ya ndoa ndo maana kuchepuka wanaona sio kosa
 
Kamba
 
Mume alijibu kirahisi mno kitu ambacho sio kawaida kwa mwanaume,inawezekana alijua kuna siku isiyo na jina mumewe angemgeuza asusa,akajiwahi.

Mtu anayejibu kirahisi hivyo ni wa kuogopwa
na huu ndio ukweli!

Unajisikiaje pale unapotukana mtu, alafu akakujibu kwa upole?? Utahisi hatia hatia!

Mwanamke akifanya kosa kama hilo, anatarajia kuadhibiwa,kuonywa au kuachwa!

Kama utaujua ukweli, na usipofanya hata mojawapo kati ya hayo, umemwacha ajihukumu mwenyewe!
 
Ni kweli kabisa,angepewa adhabu angeridhika ila kitendo cha kuachwa kilimletea hatia moyoni akaamua kujitafutia adhabu
 
In reality haileti sense sana, waangalie asije kua alipewa sumu watu wanatafuta pa kutokea
Wamakonde wachawi sana

usije ukakuta Jamaa alinyunyuzia akamla Marehemu bila ya kujitambua …akili ziliporudi nafsi ikamsuta sana


kuna DHRA mmoja namfahamu analiwa ma Dalali wa Magari wa katikati ya Jiji ambae ni Mmakonde

Kamtengeneza yule Mkurugenzi wa rasilimali watu hadi wakati mwingine anapigiwa Simu na Mke wa dalali akiwa na shida anamsaidia hata kumpa fedha na hivi sasa Dalali anajengewa nyumba na yule Mama Mkurugenzi kwny kiwanja cha Mkewe wa ndoa



Ukiona Binti yako ana chenji halafu anazengewe na marioo wa Kimakonde andika DP world imeingia kwny ukoo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…