Kula hij mixer ya Eagle na Hanson utanishukuruNdiyo, mfano nyanya chungu huwa natafuna mbichi kabisa na ninapata mzuka haswaa.
FAIDA:
Huimarisha na kuweka sahawia sukari halisi iliyopo mwilini mwako na kudhibiti sukari ya ziada itokanayo na vinywaji kama soda, juisi za viwandani n.k.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Endelea kujitekenya huku unacheka mwenyewe kwa kujiangalia kwenye kiooKula hij mixer ya Eagle na Hanson utanishukuruView attachment 2141479
Kha Kha kha-Kha! Achanganye na kula hvo vitu halafu eti atakuja kukushukuru? Oiyeyai- arananuu alo! Huo muda ataupata wapi ilhali atakuwa amesha R.I.P?🤣🤣Kula hij mixer ya Eagle na Hanson utanishukuruView attachment 2141479
Paris au mashujaa
HahaahahahaKha Kha kha-Kha! Achanganye na kula hvo vitu halafu eti atakuja kukushukuru? Oiyeyai- arananuu alo! Huo muda ataupata wapi ilhali atakuwa amesha R.I.P?[emoji1787][emoji1787]
Nilianza pombe 1985 na sijawahi kufanya hiki unachokisema hapaEndelea kujitekenya huku unacheka mwenyewe kwa kujiangalia kwenye kioo
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
mashujaaParis au mashujaa
Ngoja nikajitafutie K - Vant nishushie na mkuu wa meza a.k.a. mdudu🐷Tofauti na bia ambazo ukinywa tatu hutamani kula ila ukipiga konyagi yako au k vant kwanza huna wasiwasi wa kupata kisukari pia nyama unapiga vzr kitimoto kilo unaimaliza ila sio kwa bia.
Maada tayari.
Hawa ndiyo misukule wanaoaminishwa upuuziNilianza pombe 1985 na sijawahi kufanya hiki unachokisema hapa
Nami sijapungukiwa na chochote zaidi ya kuwa na afya njema aliyonijalia MunguNilianza pombe 1985 na sijawahi kufanya hiki unachokisema hapa
Mimi tokea utotoni - yaani, nikiwa nimebebwa mgongoni mbege natwangishwa, uzimani/uzeeni natwanga na hivyo vingine mimi mwenyewe. Afya tele imejaa mpaka inamwagika.🤣Nami sijapungukiwa na chochote zaidi ya kuwa na afya njema aliyonijalia Mungu
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
mkuu hata wasabato wanakufa so huwezi kwenda mbinguni bila kufa alafu bia ingekua zambi mungu asingetupa uwezo wa kuitengenezandomnavyojiteteaga
mkuu ukifa maini yanaenda kuoza sasa kwanini ufe na maini mazima alafu unaweza usinywe pombe ukafa na covid au maralia
sio uharibifu mkuu ndio raha yenyeweKwanini Uwe Na Mentality Ya Uharibifu Wa Mwili Wako Mwenyewe?
Ni Sawa Na Kukata Tamaa Ya Kuishi Ishi Vyema Japo Kufa Kupo.